• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

KOROSHO, PAMBA KUZALISHWA TANI 30,000 IFIKAPO 2024

Posted on: August 6th, 2023



Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amesema mikoa minne inayounda Nanenane kanda ya mashariki ina mkakati wa kuhakikisha ifikapo 2024 mazao ya korosho na pamba yazalishwe kuanzia tani 20,000 hadi 30,000 ili kuongeza pato la taifa na kukuza uchumi wa nchi.

 Adam Malima amesema hayo Agosti 5, 2023 alipotembelea vipando vya Halmashauri ya Wilaya ya Ubungo vilivyopo katika viwanja vya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yanayoendelea kufanyika mara baada ya kufunguliwa na Waziri Msaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Mizengo Pinda hapo Agosti Mosi mwaka huu.

"... Kanda ya Mashariki ndio Kanda kubwa, hivyo tumepeana mikakati ya makusudi kwamba mwakani tunaanza kuhakikisha Kanda hii inachangia kwenye uzalishaji wa Taifa kuanzia  tani 20000 hadi 30000 za korosho..." amesema Mhe. Adam Malima

Amesema, serikali inampango mkakati huo ili kuwa na mazao mbadala, huku akitolea mfano wa mazao mbadala hayo kuwa ni pamoja na Karafuu na hiriki, hivyo amewataka wakulima kujifunza kilimo cha korosho kwa umakini mkubwa katika maonesho hayo.

Aidha, Mhe. Malima amesema katika kikao cha tathmini cha viongozi wa Kanda ya Mashariki kitajikita kuweka mikakati ya uzalishaji wenye tija wa mazao mbadala ili kushika namba moja kitaifa kwa uzalishaji wa mazao hayo.

Sambamba na hilo, Mhe. Malima amesema wananchi wanatakiwa kuondoa dhana ya kilimo kuwa ni cha watu wa hali ya chini bali kilimo ni kazi inayohitaji mtaji kidogo faida kubwa, hivyo amewataka wananchi kujitokeza katika maonesho hayo kujifunza teknolojia mbalimbali za kilimo kwa uzalishaji wenye tija Zaidi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Mhe. Kanali Maulid Hassan Surumbu akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Waziri Kindamba amesema amefurahishwa na Maonesho hayo huku akiweka bayana kuwa Wilaya yake ina shughuli mbalimbali za kijamii zikiwemo uvuvi, Kilimo cha zao la Mwani, uchimbaji wa madini aina ya jiwe la Tanga (Tanga stone) ambalo hutumika kujengea nyumba, huku akiwataka wakulima kutembelea vipando vya Halmashauri ya wilaya ya Mkinga kupata elimu zaidi.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.