• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

KUPATA LESENI YA BIASHARA LAZIMA UWE NA ANWANI YA MAKAZI

Posted on: May 19th, 2022

KUSAJIRI BIASHARA LAZIMA UWE NA ANWANI YA MAKAZI

Naibu waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Andrea Mathew amesema hatua inayofuata sasa kuhusu anwani za makazi na Posti Kodi ni kwamba kila mwananchi anatakiwa kuwa na anwani za makazi na kwa wafanyabiashara hicho kitakuwa ni moja ya vigezo muhimu katika kutoa leseni zao za biashara.

“Wafanya biashara wote watakapokwenda kuomba leseni ya kufanya biashara, ni lazima atoa anwani yake ya makazi, asipokuwa na anwani ya makazi hataweza kusajiliwa  biashara yake” amesema  Naibu Waziri Kundo.

Waziri Kundo amesema hayo Mei 18 mwaka huu wakati wa uzinduzi wa uwekaji wa vibao vya anwani za makazi katika Kata ya Kichangani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mkoani humo alipofanya ziara ya siku moja.


Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhandisi Kundo Andrea Mathew (kulia) akiwa na mwenyeji wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela alipofanya ziara ya siku moja Mkoani humo Mei 18 mwaka huu


Naibu Waziri Mhandisi Kundo akiongea na baadhi ya viongozi wa Serikali katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro mara alipowasili kwa zaiara ya siku moja Mei 18 mwaka huu

Naibu Waziri akizindua rasmi uwekaji wa vibao vya anwani za makazi katika moja ya makazi ya mwananchi katika kata ya kichangani Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albert Msando akishiriki uwekaji wa vibao vya anwani za Makazi - Kata ya Kichangani


Kulia kwa Naibu Waziri ni Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mhe. Pascal Kihanga



Katibu Mwenezi wa CCM Tawi la Elia Six Kata ya Kichangani Michael Samweli Kilumbo akishiriki kuweka kibao cha Anwani za Makazi huku akisaidiwa na Naibu Waziri Mhandisi Kundo Mathew


Naibu Waziri Mhandisi Kundo Andrea (mwenye suti) akitoa elimu ya faida ya anwani za Makazi kwa wakazi wa Mkoa huo. kushoto aliyevaa miwani ni Mratibu wa zoezi hilo Mkoa wa Morogoro Mhandisi Ezron Kilamhama


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.