• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

Posted on: May 23rd, 2025



Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amewataka Maafisa Habari kujitokeza hadharani kujibu na kutoa ufafanuzi sahihi kuhusu maendeleo yanayofanywa na Serikali, hususan pale ambapo upotoshaji wa makusudi unapotokea.


Akifungua kikao kazi cha Maafisa Habari wa Mikoa, Halmashauri, na Taasisi za Ofisi ya Rais - TAMISEMI kilichofanyika Dodoma Mei 23, 2025, Mchengerwa aliwakumbusha wajibu wao wa kuzungumza ukweli kuhusu mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Mchengerwa alionya dhidi ya kuwaruhusu Watanzania kuzoea kulishwa taarifa potofu na watu wenye nia mbaya hivyo aliwataka Maafisa Habari kwenda kutoa habari sahihi na kueleza mazuri yanayofanywa na Serikali.


“Tusiwafanye watanzania kuzoea kulishwa taarifa potofu, nendeni mkatoe ufafanuzi na habari sahihi ikiwemo kuzungumzia mazuri yanayiendelea Tanzania” alisisitiza Mchengerwa.


Mchengerwa alitaja kuwa bajeti ya TAMISEMI kwa mwaka 2025/26 ni Trilioni 11.7, ambayo ni asilimia 21 ya bajeti yote yq Serikali hivyo, alihimiza Maafisa Habari kuitangaza na kuisemea miradi hiyo kwenye vyombo vya habari .


Kwa upande wake Kaimu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, Mhandisi Novatus Mativila, aliwataka Maafisa Habari kufanya kazi kwa juhudi na ubunifu huku wakizingatia wakati uliopo.


Akiwasilisha mada Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba, alihimiza Maafisa Habari kuongeza ubunifu katika kazi zao, ikiwemo kutumia mitandao ya kijamii na redio.


Dkt.Rioba alisema kuwa kufanya hivyo kutasaidia kufikisha maudhui bora kwa jamii, hatua ambayo itachangia wananchi kutambua shughuli za Serikali na kuendelea kuiunga mkono.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.