• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MAANDALIZI YA NANENANE YASHIKA KASI MOROGORO

Posted on: June 29th, 2022

MAANDALIZI YA NANENANE YASHIKA KASI MOROGORO.

Maandalizi ya maonesho ya wakulima ya Nanenane ya mwaka 2022 kanda ya Mashariki yameanza rasmi leo Juni 29 mwaka huu Mkoani Morogoro kwa wajumbe wake kutoka Mikoa yote minne inayounda kanda hiyo, Mikoa ya Dar es Salaam,Tanga, Pwani pamoja na Morogoro kushiriki kikao cha Kamati ya maandalizi Mkoani humo.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akizungumza wakati wa Kikao cha Maandalizi ya Maonesho ya wakulima Nanenane kilichofanyika Juni 29 mwaka huu katika ukumbi wa JKT Nanenane.


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge  akizungumza wakati wa Kikao cha Maandalizi ya Maonesho ya wakulima Nanenane kilichofanyika Juni 29 mwaka huu.


Mkuu wa Mkoa wa Tanga Adam Malima akizungumza wakati wa Kikao hicho.


Wakuu wa Wilaya za Mikoa minne wakishiriki kikao cha Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya wakulima ya Nanenane.


Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya maonesho ya wakulima kutoka Mikoa minne inayounda Kanda ya Mashariki wakiwa kwenye kikao cha Maandalizi ya Maonesho hayo kilichofanyika Juni 29 mwaka huu.




Mojawapo ya vipando vilivyopo katika viwanja vya Nanenane Mkoani Morogoro kama sehemu ya maandalizi ya Maonesho ya wakulima mwaka 2022 kwa Kanda ya Mashariki.


Kutoka kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Bi. Mariam Mtunguja, Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bi. Pilli Hassan Mnyema na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albart Msando wakiwa katika kikao cha kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Wakulima.



Wajumbe wa kamati ya maandailizi wakishiriki kikao cha Maandalizi ya Maadhimisho ya Maonesho ya Wakulima nanenane yanayotarajiwa kufanyika Agosti 1 mwaka huu Mkoani Morogoro.



MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.