• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Madaktari bingwa wa Rais Samia kutoa huduma za kibingwa Mkoani Morogoro

Posted on: October 14th, 2024

Madaktari Bingwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wamedhamiria kutoa huduma ya afya kwa siku sita katika Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro kuanzia Oktoba 14 hadi 20 Mwaka huu.

Hayo yamesemwa Oktoba 14, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Adam Kighoma Malima wakati akizungumza na Madaktari hao watakao toa huduma za kibingwa na bobezi katika Halmashauri zote za Mkoa huo na kuwajengea uwezo wataalamu wa afya waliopo katika hospitali zilizopo katika Halmashauri hizo.

Mhe. Malima amewasisitiza Madaktari hao kutoa hamasa kwa wananchi kuwa na utamaduni wa kupima afya mara kwa mara ili kujua hali za afya zao  kwani itasaidia wananchi kujitambua mapema hasa kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza na kuanza uchunguzi mapema ili kuanza matibabu mapema.


"...nawashukuru sana kwani huduma ya afya mtakayokwenda kutoa kwenye Halmashauri zetu ni huduma muhimu sana kwa Jamii nendeni mkawasaidie wananchi..." amesema Mhe. Adam Kighoma Malima

Aidha, Mhe. Adam amewataka wananchi kuwa na utamaduni wa kutumia lishe bora na sahihi kwa watoto wadogo, vijana na wazee kwani lishe bora ni mlo wenye virutubisho sahihi ambavyo haviwezi kuharibu afya ya mtu kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa lishe wanavyoelekeza ili kuwa na afya imara.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wananchi kuendelea kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura wa Serikali za Mitaa ili kuweza kupata fursa ya kupiga na kupigiwa kura ifikapo Novemba 27 Mwaka huu na kuweza kupata kiongozi bora kwa maendeleo ya Jamii na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mratibu wa Madaktari bingwa wa Rais Samia Mkoa wa Morogoro kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Ismail Mtitu amesema kila Halmashauri za Mkoa huo itapokea madaktari bigwa 6 na muuguzi 1 kuanzia Oktoba 14 hadi 20 Mwaka huu ambao watatoa huduma za kibingwa kwa siku 6.

Sambamba na hayo, Mratibu huyo amesema Madaktari hao wataendelea kusimamia na kusaidia huduma za kibingwa zinatolewa kikamilifu, kuwajengea uwezo Madaktari husika wa hospitali zilizopo katika Halmashauri hizo na kusaidia hospitali kuanzisha wodi maalum za watoto wachanga.


Mwisho.



Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.