• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Makatibu Tawala Wasaidizi Miundombinu watakiwa kusimamia miradi kwa weledi

Posted on: February 8th, 2025

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI Sehemu ya Miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila amewataka Makatibu Tawala Wasaidizi wa Sekretarieti za Mikoa hapa nchini kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili miradi hiyo kuwa na ubora na thamani tarajiwa kwa manufaa ya Taifa.


Mhandisi Rogatus amesema hayo hivi karibuni wakati wa kikao cha Makatibu Tawala Wasaidizi wa Mikoa Sehemu ya Miundombinu na Ofisi ya Rais Tamisemi  kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkandarasi House Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili mambo muhimu yanayohusu kazi za ujenzi, ukarabati na matengenezo ya miundombinu katika Mikoa 26 ya hapa nchini.


"...ni lazima kuhakikisha yafuatayo, moja kusimamia miradi kwa mujibu wa mikataba, pili kuwa na mpango wa usimamizi wa muda mrefu, wa kati na mfupi na tatu kuepuka upendeleo ndani ya watumishi..." amesema Mhandisi Rogatus Mativila


Aidha, Naibu Katibu huyo amewasisitiza Makatibu Tawala Wasaidizi hao kusimamia miradi bila upendeleo na kuhakikisha inaisha kwa wakati na kwa ufanisi ili kusogeza huduma karibu na wananchi.


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Makatibu Tawala Wasaidizi wa Sehemu ya Miundombinu Kote nchini Mhandisi Ezron Kilamhama kutoka Mkoa wa Morogoro, kwa niaba ya Makatibu Tawala Wasaidizi wenzake alimuahidi Naibu Katibu Mkuu huyo kuwa wamepokea maagizo hayo na kukiri kusimamia miradi kwa ufanisi kwa kushirikiana na wakandarasi ili kupata ubora unaohitajika katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao.


Naye, Katibu wa Makatibu Tawala Wasaidizi hao Mhandisi Arch Chagu kutoka Mkoa wa Mwanza amesema ndani ya Mwezi huu wa  Februari, watapeleka mpango kazi wao Ofisi ya Rais, TAMISEMI ili kuwathibitishia viongozi wao namna walivyojipanga kwenda kutekeleza maagizo ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI aliyoyatoa.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.