• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MASHEKHENA MAIMAMU WATAKIWAKUHIMIZA UMOJA NA MSHIKAMANO.

Posted on: March 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa amewataka Mashekhe na Maimamu wa Misikiti ya Mkoa wa Morogoro kuhimiza waamini wao na wananchi wa Mkoa huo kwa ujumla kudumisha umoja na mshikamano, zaidi kuhimiza amani na watu kuwa na hofu ya mungu kwa kufanya hivyo amesema kutapunguza maovu mengi yanayotokea ndani ya jamii ya leo.

Mhe. Fatma Mwassa ameyasema hayo Machi 26 mwaka huu wakati wa hafla fupi ya kutoa sadaka ya futari kwa Mashekhe na Maimamu wa Misikiti ya Morogoro Mjini iliyofanyika Ofisini kwake.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema jamii ikiwa na hofu ya Mungu maovu yanapungua, hivyo amewataka viongozi hao kutumia mfungo huu wa Ramadhani kuwahimiza waumini wao kuwa waadilifu na kuacha matendo yote yasiyofaa katika jamii.

"...kwahiyo niwaombe sana kutumia kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwahimiza waumini wenu kuwa watu waadilifu, na kuacha uharifu, kuacha wizi, uzinzi, rushwa na mambo mengine yote mabaya..." amesema Mhe. Fatma Mwassa.

Sambamba na hilo Mhe. Fatma Mwassa amewataka kwenda kuwahimiza  amani, upendo, umoja na mshikamano baina ya watanzania wote.

Kwa upande wake Katibu wa Bakwata Mkoa wa Morogoro Shekhe Kindo Mbagu kwa niaba ya Mashekhe na Maimamu waliopokea sadaka hiyo amemshukuru na kumuombea dua Mkuu huyo wa Mkoa kwa kuwakumbuka Mashekhe na Maimamu ambao mara nyingi hawafikiwi.

Aidha, ameongeza kuwa wataendelea kuwahimiza waumini kudumisha amani, upendo na mshikamano kwa kushirikiana na Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nae Alhaji Khamis Sengulo ambaye ni Mjumbe wa Baraza kuu la BAKWATA Mkoa wa Morogoro amesisitiza kuwa kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni mwezi wa kutoa kwa wahitaji, mwezi wa kudumisha upendo, umoja na amani pamoja na kufanya ibada kwa wingi, hivyo Waislamu wanatakiwa kutoa kama alivyofanya Mkuu wa Mkoa Mhe. Fatma Mwassa

Katika hafla hiyo Mkuu huyo wa Mkoa ametoa chakula kama mchele, tende, mafuta ya kula, sukari, tambi, mikeka ya kuswalia na masaafu ikiwa ni ishara ya matendo mema yanayotakiwa kutendwa zaidi katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.