• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MBIO ZA MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 68 MKOANI MOROGORO

Posted on: May 5th, 2023

MBIO ZA MWENGE WA UHURU KUMULIKA MIRADI YA MAENDELEO 68 MKOANI MOROGORO.

Mwenge wa Uhuru 2023 unatarajiwa kuanza kukimbizwa Mkoani Morogoro kuanzia Mei 6 hadi 14 mwaka huu ambapo unatarajiwa kupitia miradi ya maendeleo 68 yenye thamani ya zaidi ya Tsh Bil. 12.1.

Miongoni mwa miradi ambayo itapitiwa na Mwenge wa Uhuru kutoka sekta mbalimbali ikiwemo elimu, maji, Afya na barabara.

 MWENGE wa Uhuru ambao unatoka kukimbizwa Mkoani Iringa utapokelewa Mkoani humo katika Kata ya Chita na kukimbizwa katika Halmashauri zote 9 za Mkoa wa Morogoro na utakabidhiwa Mkoa wa Pwani hapo Mei 15 mwaka huu.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 Bw. Abdallah Shaib Kaim (katikati).

Taarifa iliyotolewa inaeleza kuwa Mwenge wa Uhuru utapitia jumla ya miradi 68 yenye thamani ya Shilingi 12,170,922,197.46 kwa ajili ya Ufunguzi, Uzinduzi, uwekaji mawe ya msingi na kukagua.

Aidha, miradi 24 itawekewa jiwe la msingi, 5 itafunguliwa, 19 itazinduliwa na miradi 20 itakaguliwa.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa ataongoza mapokezi ya Mwenge huo wa Uhuru katika kata ya Chita ukitokea Mkoani Iringa.


Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 zinaenda sambamba na kaulimbiu isemayo “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya maji kwa ustawi wa viumbe hai na Uchumi wa Taifa”.

Hima  hima wanamorogoro tushikamane kuupokea mwenge wa Uhuru popote utakapopita.

Morogoro nguvu moja ushindi Kwetu ni Tania yetu


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.