• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MEYA KIHANGA AZIPONGEZA HALMASHAURI ZA MOROGORO

Posted on: June 1st, 2024


Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Mhe. Pascal Kihanga amezipongeza Halmashauri za Mkoa wa Morogoro kwa kushiriki kikamilifu kwenye mashindano ya Michezo ya shule za Msingi UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa yaliyofanyika katika Halmashauri hiyo tangu Mei 30 mwaka huu.

Mhe Kihanga amesema hayo hii leo wakati anafunga rasmi mashindano hayo katika uwanja wa Jamhuri uliopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kwa michezo hiyo inaongeza urafiki baina ya washiriki wa michezo hiyo.

Mhe. Kihanga amesema mashindano yanaleta umoja na ushirikiano kwa sababu  watu mbalimbali kutoka Halmashauri zote za Mkoa hu zinakusanyika pamojana kutumia fursa kujuana na kuweza kuongeza marafiki

Katika hatua nyingine, Mhe. Pascal Kihanga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Morogoro - MRFA amewapongeza waandaji wa mashindano hayo kwa kwa ngazi zote kwa kuyaratibu vizuri na umakini mkubwa.


Kwa upande wake Bi. Arisi Mushi mwalimu wa shule ya msingi ya Mgolole iliyopo Manispaa ya Morogoro akiongea kwa niaba ya walimu waliosimamia mashindano hayo amesema licha ya kuwa na changamoto mbalimbali, uongozi umeweza kuyasimamia vizuri hivyo kupelekea watoto kufurahia mashindano hayo.


Naye Mwajuma Hassan mwanafunzi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Gairo akiongea kwa niaba ya wanafunzi wenzake mesema, mashindano hayo yameongeza ujuzi wa kipaji chake cha  kucheza mpira wa mikono huku akiwasihi wanafunzi wenzake wasikate tamaa hata kama hawajachaguliwa kuendelea na mashindano kwenda ngazi ya kitaifa, waendelee kufanya mazoezi kwa bidii ili nao mashindano yanayokuja waweze kuchaguliwa.


Mashindano hayo ya UMITASHUMTA ngazi ya Mkoa yalihusisha michezo mbalimbali ikiwemo Mpira wa miguu, riadha, volleyball wasichana na wavulana, kwaya, ngoma,  mziki wa kizazi kipya na mpira wa kikapu kwa wasichana na kwa wavulana.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.