• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Mfumo mpya wa PEPMIS kuongeza uwajibikaji Serikalini.

Posted on: January 24th, 2024

Mfumo mpya wa PEPMIS kuongeza uwajibikaji Serikalini.

Kuanzishwa kwa mfumo mpya wa Public Employee Performance Management Information System – PEPMIS una lengo kuongeza ufanisi na uwajibikaji kwa watumishi wa Serikali hapa nchini.

Hayo yamebainishwa Januari 24, 2024 na Bw. Paul Magesa ambaye ni Mwezeshaji wa mfumo wa PEPMIS kutoka Ofisi ya Rais – Utumishi kwenye kikao cha majumuisho ya mafunzo ya utekelezaji wa mfumo huo wa PEPMIS.

Bw. Magesa amesema kuwa mfumo huo umeanzishwa kwa lengo la kupima na kutathmini utendaji kazi wa Watumishi wa Serikali katika Taasisi mbalimbali za Umma, hivyo mfumo huo unatarajia kuongeza ufanisi katika utendaji kazi wa watumishi hao.

“...mfumo huu tunatarajia  kuwezesha watumishi kuwajibika kwa hiyari na hatimae kuleta ufanisi na tija Serikalini...” amesema Bw. Magesa.

Aidha, ameeleza kuwa kwa Mkoa wa Morogoro Zaidi ya asilimia 80 ya Watumishi wa Umma kutoka taasisi 25 wamesajiliwa katika mfumo huo huku akiamini kuwa baada ya wiki moja Mkoa huo utafikia aislimia 100 ya watumishi waliosajiliwa.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro Bw. Ally Machela kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kikao hicho amewashukuru wawezeshaji wa mfumo huo na kuwasisitiza watendaji wengine kuhakikisha kuwa hadi kufika Januari 31, 2024 wanawasajili watumishi wao kwenye mfumo ili kuzifikia asilimia 100 za utekelezaji.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.