• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MIFUMO YA GOTHOMIS, FFARS na NeST kurahisisha utendaji kazi.

Posted on: November 13th, 2024



Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa amesema kuwepo kwa sayansi na teknolojia kumesaidia utendaji kazi kuwa wa kasi na wa haraka hapa nchini ambapo amewataka wakaguzi wa Halmashauri za Mkoa huo kutumia mifumo ya GOTHOMIS, FFARS na NeSTi ili kuboresha utendaji kazi kuwa wa wazi na kuondoa udanganyifu wa watumishi wa umma.

Dkt. Mussa amesema hayo Novemba 11, Mwaka huu wakati akifungua mafunzo ya mifumo ya GOTHOMIS Centralized, FFARS na NeST kwa Wakaguzi wa Halmashauri za Mkoa wa Morogoro yanayowezeshwa na Wakufunzi kutoka Ofisi Rais TAMISEMI na kutoka Mamlaka ya ununuzi wa Umma (PPRA).

Mafunzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro yamelenga kuwajenga uwezo Wakaguzi wa ndani kuhusu ukaguzi wa shughuli mbalimbali zinazotekelezwa katika mifumo hiyo.

Aidha, Katibu Tawala huyo wa Mkoa amewataka wakaguzi hao kufuatilia kwa kina mafunzo hayo ili kuwa na uelewa katika matumizi yake kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa shughuli zinazotekelezwa na kuongeza ufanisi katika utendaji kazi kwani amesema maendeleo ya sayansi na teknolojia yanalenga kuongeza uwazi na uwajibikaji kwa watumishi wa umma hususan ndani ya Halmashauri za mkoa wa Morogoro.

Kwa upande wake, Mganga mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Best  Magoma amesema mafunzo hayo yamelenga kutoa uelewa wa pamoja kwa wakaguzi wa halmashauri katika kutekeleza majukumu yao na kuongeza kuwa mifumo hiyo  inazisaidia sekta za afya hususan katika ukusanyaji wa mapato ya vituo vya afya ili kuweza kujiendesha vyenyewe.

Pia amesema watumishi wa umma wanapaswa kuendana na kasi ya teknolojia kuhama kutoka mifumo ya “analogy” kwenda mifumo ya “Digital” ikiwemo matumizi ya mifumo hiyo ya GOTHOMIS, FFARS na NeST  yote ina lengo la kurahisisha utekelezaji wa majukumu.


Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.