• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MIZENGO PINDA AFURAHISHWA NA UJENZI WA KIWANDA CHA SUKARI KILOSA, AMPONGEZA RAIS.

Posted on: August 3rd, 2023


Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda amefurahishwa na ujenzi wa kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa na serikali kwa 100%, huku idadi kubwa ya wafanyakazi wake wakiwa ni wazawa.

Mhe. Mizengo Pinda amesema hayo Leo Agosti 2, 2023 alipotembelea Kiwanda cha sukari cha Mkulazi kilichopo Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro kwa  lengo la kujionea ujenzi wa Kiwanda hicho huku akionesha kuridhihwa  na hatua iliyofikiwa.

Mhe. Mizengo Pinda pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa katika kiwanda kipya cha sukari cha Mkulazi kujionea maendeleo ya ujenzi wa kiwanda hicho.

Aidha, Mhe. Pinda amesema uchumi wa wananchi utaongezeka sana kwa sababu serikali imeanza kuwekeza na kuwashirikisha vijana na wanawake kwenye kilimo hususani kilimo cha miwa ili kuweza kulisha  viwanda vya sukari na kupata sukari ya kutosha.

Katika hatua nyingine Mhe. Pinda amepongeza  juhudi za Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa nia yake ya kutokuagiza sukari nchi za nje.

Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali baada ya kutembelea Taasisi ya utafiti wa kilimo (TARI) Wilayani Kilosa.

Kwani amesema ni jambo la kujivunia kwa Serikali kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda vya Sukari hapa nchini.

Naye, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amesema ukamilishaji wa kiwanda hicho utasaidia nchi katika mahitaji ya  sukari tani 550,000 hadi 600,000 kwani Morogoro pekee itakuwa inatoa tani 430,000 ndani ya mfumo, hivyo amepongeza uongozi wa kiwanda hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima akimuonesha Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda vitalu vya miche ya michikichi ambayo itagawanywa kwa baadhi ya Halmashauri kwa ajili ya kupandwa.

Hata hivyo, Mhe. Malima amefurahishwa na mpango mkakati wa kiwanda hicho kushirikiana na wakulima wa miwa ili kuzalisha malighafi za kutosha za kulisha kiwanda sambamba na kupata ujira wao.



Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.