• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Morogoro, China kushirikiana kukuza kilimo.

Posted on: November 27th, 2023

Morogoro, China kushirikiana kukuza kilimo.

Mkoa wa Morogoro na nchi ya China zimekubaliana kushirikiana ili kukuza Sekta ya Kilimo Mkoani humo kwa lengo la kuinua uchumi wa wakulima, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akipokea zawadi kutoka kwa Mhadhiri wa Chuo cha Kilimo - CAU cha nchini China Prof. Li Xiaoyun.

Hayo yamebainishwa Novemba 27,2023 na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima alipokutana na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha CAU cha nchini China walipomtembelea Mkuu wa Mkoa huo Ofisini kwake kwa ajili kuangalia maendeleo ya shamba darasa katika kijiji cha Mtego wa Simba kilichopo Wilaya ya Morogoro.

Katika mazungumzo yao Mkuu wa Mkoa amesema Mkoa umepanga kulima mazao matano ya Kimkakati ya biashara ambayo ni Karafuu, Kahawa, Kokoa, Parachichi na Michikichi lengo ikiwa ni kuinua Uchumi wa wakulima wadogo.

"...nataka wakulima walime mazao yatakayoisaidia familia, kwa hiyo nimeazisha kilimo cha mazao matano, zao la karafuu, Kakao, Michikichi, Parachichi na Kahawa..." amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Adam Malima amewaomba viongozi hao kushirikiana kufanya utafiti kwenye sekta hiyo ya kilimo ili kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao hayo.

Kwa upande wake Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha CAU cha nchini China Prof. Li   Xiaoyun amemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa kwa kutoa ushirikiano wa kutosha kwao na kukubali kushirikiana katika sekta hiyo ya kilimo.

Aidha, amempongeza Mhe. Adam Malima kwa maono mazuri aliyonayo juu ya kilimo na kumhakikishia kuwa Chuo CAU kipo tayari kumpokea kwa ajili ya kuongeza uzoefu zaidi katika Sekta hiyo ya Kilimo.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.