• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MORUWASA yaagizwa kusambaza maji kwa wananchi ifikapo Januari 20, 2024.

Posted on: January 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima ameuagiza uongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoani humo – MORUWASA kuhakikisha wananchi wa kata za Kiegea, Mkundi na Kihonda kupata maji ifikapo Januari 20,2024.

Mhe. Malima ametoa agizo hilo -Januari 4 mwaka huu wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya Maendeleo ya Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ambapo alitembelea mradi wa ujenzi wa tanki la maji lenye ujazo wa lita milioni moja lililopo eneo la Kiegea Manispaa ya Morogoro.

Mhe. Adam Malima amesema, Serikali imeshatoa fedha zaidi ya shilingi bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa tanki lenye ujazo wa lita milioni moja ambalo litahudumia wakazi wa maeneo ya Kiegea, Star City na Kihonda, hivyo ameitaka MORUWASA kukamilisha maboresho ya mradi huo haraka  na ifikiapo Januari 20 mwaka huu mradi huo uwe umekamilika.

“...yeye amesema tarehe 31 tutapata maji sasa mimi namuagiza kwamba tarehe 20 mwezi wa kwanza maji yapatikane...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Malima ametoa wiki moja kwa MORUWASA kutoa taarifa kwa wananchi kuhusu utaratibu wa kuomba huduma hiyo ya maji ili yaweze kuwafikia ndani ya nyumba zao.

Awali Mkurugenzi Mtendaji wa MORUWASA Mhandisi Tamimu Katakweba amesema zoezi la kulaza mabomba kutoka kwenye tanki lenye lita milioni moja limekamilika na wananchi wa maeneo hayo wataanza kufaidi matunda ya Mama Samia Suluhu Hassan hivi karibuni.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.