• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MRADI WA JIFUNZE UELEWE WACHANGIA KUONGEZA UFAULU MOROGORO.

Posted on: March 6th, 2024

Programu za Mradi wa Jifunze Uelewe unaotekelezwa na Shirika la USAID – Jifunze Uelewe Mkoani Morogoro umetajwa kuwa ni chachh ya ongezeko la ufaulu kwa wanafunzi wa shule za Msingi Mkoani  humo.

Hayo yamebainishwa Machi 5, 2024 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa wakati akizungumza na Wadau wa shirika hilo katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Dkt. Mussa amesema Serikali imefanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha kuwa ufaulu unaongezeka lakini pia wadau kupitia miradi yao hususan mradi wa Jifunze Uelewe, umesaidia kwa kiasi kiku wa katika kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa shule za Msingi.

“... kama Mkoa tumeweza kuyaona matokeo yake kwa sababu hata ufaulu wa wanafunzi kwa miaka hii umepanda kwa kiasi fulani...” amebainisha Katibu Tawala.

Aidha, Katibu Tawala huyo amelipongeza shirika hilo na kulitaka kuendeleza miradi yake ili iwanufaishe wananchi wa Mkoa huo, hata hivyo amesema Ofisi yake ipo tayari kuwasaidia ili kuhakikisha kuwa miardi hiyo inafanikiwa.

Akizungumzia mradi wa Kijana Nahodha, Dkt. Mussa amesema mradi huo unasaidia kuijenga jamii kwani amesema kupitia mradi huo vijana wanajikita kuimarisha miradi yao na kuachana na tabia hatarishi.

Naye Mratibu wa mradi wa Jifunze Uelewe Mkoa wa Bw. Sylvester Isuja amesema wameandaa ziara ya  siku ya moja kutembelea shule ya msingi Mwere A iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ili kujionea utekelezaji wa mradi huo katika shule hiyo baada ya walimu wa shule kupatiwa mafunzo na mbinu za ufundishaji.

Kwa upande wake Msimamizi wa miradi ya vijana kutoka Kijana Nahodha Dkt. Tuhuma Tulli amebainisha kuwa mradi wa Kijana Nahodha unawalenga vijana walio katika umri kati ya miaka 15 hadi 25 na kuongeza kuwa mradi huo kwa Mkoa wa Morogoro unatekelezwa katika Halmashauri tatu za Mvomero, Manispaa ya Morogoro na Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.