• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA UPENDO, UMOJA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Posted on: April 25th, 2024

MWENGE WA UHURU 2024 WASISITIZA UPENDO, UMOJA NA KUFANYA KAZI KWA BIDII

Mwenge wa Uhuru 2024, umewataka watanzania wote hapa nchini kudumisha tunu za Taifa hili zizoazishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kuendelezwa na waandamizi wake ambazo ni UPENDO, UMOJA NA AMANI.

Hayo yamebainishwa leo Aprili, 25 na Mkimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bi. Maria Mapunda wakati akitoa ujumbe wa Mwenge wa Uhuru katika viwanja vya shule ya Msingi Kiswago Wilayani Malinyi Mkoani Morogoro muda mfupi kabla ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa vyumba vya madarasa viwili na matundu manne ya vyoo.

Mkimbiza Mwenge Bi Mariam Mapunda amesema Amani, Upendo na Umoja ndio tunu bora zinazotakiwa kulindwa kwa kuvu zote na watanzania kwa kuwa ndio nguzo ya Taifa letu na chanzo cha amani hivyo kusaidia nchi kuendelea kukua kiuchumi.

Pamoa na kiongozi huyo kuwakumbusha watanzania kudumisha tunu hizo, bado amewakumbusha wananchi wa Wilaya ya Malinyi na watanzania wote kwa ujumla kaulimbiu ya Mwenge wa Uhuru mwaka huu isemayo TUNZA MAZINGIRA, SHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA UJENZI WA TAIFA ENDELEVU

Aidha, amewakumbusha kutekeleza kaulimbiu za kupinga vita Rushwa, kupinga ugonjwa wa UKIMWI, kutokomeza ugonjwa wa malari pamoja na kujijengea tabia ya kula vyakula bora na vyenye Virutubisho ili kuondokana na magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na kutokula vyakula bora.

Mwenge wa Uhuru ukiwa Wilayani Malinyi umepitia miradi ya Maendeleo sita ambayo ni mradi wa kuona miche na Mazingira, kuzindua Mradi wa Maji Sofi Mission, kuona mradi wa Vijana, kuzindua ukarabati wa jengo la mionzi na kuzindua mradi wa madarasa mawili na matundu Manne ya Vyoo katika shule ya Msingi Kiswago yote kwa pamoja yakiwa na thamani ya zaidi ya shilingi Mil. 400.

Kesho Aprili 26 ikiwa ni siku ya saba tangu Mwenge wa uhuru kuanza kukimbizwa Mkoani Morogoro, Mwenge huo utakimbizwa katika Halmashauri ya Ifakara Mji na utakuwa umebakiza halmashauri mbili tu kukamilisha halmashauri zote tisa za Mkoa huo za kukimbiza Mwenge huo

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.