• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU 2025 KUPITIA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI TSH. 18.5 BIL. MKOANI MOROGORO

Posted on: April 11th, 2025

Mwenge wa uhuru 2025 umepokelewa leo Aprili 11, 2025 Mkoani Morogoro kutoka Mkoa wa Pwani na unatarajia kupitia miradi 70 ya maendeleo iliyopo katika halmashauri 9 za mkoa huo yenye thamani ya Tsh. Bil. 18.5.


Hayo yamebainishwa Machi 11, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe.  Alhaji Adam Kighoma Malima wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru uliokamilisha mbio zake katika Mkoa wa Pwani.


Mwenge huo umepokelewa katika kijiji cha Mgude Wilayani Morogoro ukiwa ni Mkoa wa Pili kuupokea tangu ulipozinduliwa na Mhe. Dkt. Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mkoani Pwani Aprili 2 mwaka huu.


Akifafanua zaidi, Mhe. Malima amesema miradi hiyo ya maendeleo inayowagusa wananchi ikiwemo miradi ya afya, mindombinu, elimu, maji na miradi mingine inatarajia kuleta maendeleo na kukuza uchumi wa wananchi huku akiahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wakimbiza Mwenge wa Kitaifa ili waweze kukamilisha majukumu yao ya kukimbiza Mwenge huo.


"...Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Wilaya 7 na Halmashauri 9 za Mkoa wa Morogoro ambapo utazindua pamoja na kuweka mawe ya msingi katika miradi ya maendeleo 70 yenye thamani ya Tsh. Bil. 18.5..." Amesema Mkuu huyo wa Mkoa.


Kwa upande wake, Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 Bw. Ismail Ali Ussi amewataka watendaji wanaohusika na miradi inayopitiwa na mwenge wa uhuru kuandaa nyaraka za mradi husika na vifaa vingine vya vinavyotumika katika kukagua ubora wa mradi ili kurahisisha ukaguzi wa miradi wakati wa mbio hizo.


Mwenge wa uhuru unatarajiwa kukimbizwa Mikoa 31 hapa nchini, Halmashauri 195 ukiwa na kaulimbiu inayosema "Jitokeze kushiriki uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu".



Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.