• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

Posted on: April 19th, 2025



Mwenge wa uhuru 2025 umeendelea kukimbizwa Mkoani Morogoro na kupitia miradi kadha wa kadha ya maendeleo huku ukiwa na kaulimbiu inayosema "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 kwa Amani na Utulivu" huku ukiweka bayana Tunu kuu Nne zilizoachwa na waasisi wa Taifa hili.

Kiongozi wa mbio hizo za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi akiwa Wilayani Kilosa Aprili 18, 2025 akitoa ujumbe wa Mwenge wa uhuru kwa wananchi wa Wilaya hiyo amezitaja baadhi ya tunu zilizoasisiwa na viongozi waTaifa hili ambazo zinaendelea kuchochea maendeleo ya Taifa letu.

Moja ya tunu hizo ni mapinduzi matukufu ya Zanzibar ya mwaka 1964 ambayo yaliondoa utawala wa kisultan na kumpa heshima Mzanzibar, pili Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa taifa la Tanzania.

Tunu nyingine zilizobainishwa ni azimio la Arusha la mwaka 1967 linalosisitiza Siasa za Ujamaa na Kujitegemea na Nne sera Madhubuti za ndani na Nje ambazo hazifungamana na upande wowote.

Katika hatua nyingine kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa amewataka wananchi kushiriki kikamilifu Uchaguzi Mkuu 1wa mwaka huu kwa Amani na Utulivu.

Mwenge wa Uhuru unategemea kukamilisha mbio zake mkoani Morogoro hapo kesho Aprili 19, 2025 na kuukabidhi mwenge huo Mkoa wa Dodoma tarehe 20/4/2025.


MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.