• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU WAIPONGEZA TARURA MOROGORO KUTUMIA MFUMO WA NeST

Posted on: April 27th, 2024

Mwenge wa Uhuru 2024 umepongeza Wakala ya Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro kwa kutumia kikamilifu mfumo wa manunuzi kwa njia ya kidijitali yaani NeST wakzti wa kutangaza zabuni zake ndani ya Mkoa huo kama yalivyo matakwa ya Serikali.

Hayo yamebainishwa leo Aprili 27, 2o24 na Kiongozi. Wa mbio za Mwenge wa Uhuru  Kitaifa Ndugu Godfrey Mnzava wakati wa kuweka jiwe la msingi barabara ya nzege ya Kichangani katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro yenye urefu wa M.400 huku ukigharimu shilingi za kitanzania 400mil.

Akisisitiza matumizi ya mfumo wa NeST, kiongozi huyo wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa amsema serikali imerdhia mfumo huo utumike na Ofisi zote za Serikali, wakala wa Serikali na Mashirika yote ya Umma yanatakiwa kutumia mfumo huo ili kuondoa malalamiko kwa wazabuni waoomba tenda Serikalini huku akibainisha kuwa mfumo huo pia unatum8ka katika kudhibiti matumizi mabaya ya Serikali.

Hata hivyo kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge Kitaifa ameonekana kufurahishwa na TARURA Mkoa wa Morogoro kwa kutumia mfumo huo wakati wa kujenga barabara kwani nyaraka zote zimeonesha kutumika kwa mfumo huo wa NeST

Kuondoa adha ya wananchi wa Mtaa wa Kichangani walipokuwa wakitoka kwenda kufanya shughuli zao za kiuchumi kwa kutumia barabara hiyo iliyokuwa na mashimo pamoja na tope na Serikali ya awamu ya sita ikiongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuamua kuwaondolea wananchi adha hiyo.

Mwenge wa Uhuru leo umekimbizwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa kupitia miradi 10 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi za kitanzania. 3. 6Bbaada ya kupokea kutoka Halmashauri ya Mji Ifakara Wilaya ya Kilombero.

Kesho Aprili 28,2024 Mwenge wa Uhuru utakamilisha mbio zake Mkoani Morogoro kwa kukimbiza Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro DC.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.