• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU WASIFU UMOJA NA MSHIKAMANO WA VIONGOZI MKOANI MOROGORO.

Posted on: May 15th, 2023



Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa 2023 Ndg. Abdallah Shaib Kaim amewapongeza viongozi mbalimbali Mkoani humo kwa ushirikiano, mshikamano na umoja walionao katika kuhakikisha kuwa Mkoa unapata maendeleo katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Ndg. Abdallah Shaib ametoa pongezi hizo Mei 15 mwaka huu wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru ukitokea Mkoani Morogoro kwenda Mkoa wa Pwani baada ya kukamlisha mbio zake Mkoani humo.

Kiongozi huyo wa Mbio za Mwenge wa Uhuru amesema Mwenge wa Uhuru ulipokuwa Mkoani Morogoro umejionea kwa vitendo mshikamano wa viongozi hao wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa Mhe. Fatma Mwassa katika kusimamia miradi ya maendeleo ambayo Serikali inatoa fedha nyingi za utekelezaji wa miradi hiyo.

Aidha, Ndg. Abdallah Shaib amebainisha kuwa umoja huo wa viongozi hao wananchi wanakuwa na imani na Serikali yao inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa amewashukuru wakimbiza Mwenge wa Uhuru wakiongozwa na Ndg. Abdallah Shaib na kuhaidi kufanyia kazi maagizo, maelekezo na ushauri uliotolewa wakati wa ukaguzi wa miradi ya maendeleo Mkoani humo.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge wakati akipokea Mwenge huo wa Uhuru amesema kuwa Mwenge huo utapita kuona, kuzindua na kuweka mawe ya msingi miradi 99 yenye thamani zaidi ya tilion 4.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.