• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENGE WA UHURU WASISITIZA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

Posted on: April 25th, 2024

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndugu Godfley Mnzava ameendelea kuwakumbusha Wakala wa Serikali, mashirika ya Umma na Ofisi nyingine za Serikali kutumia mfumo wa manunuzi wa kidijitali yaani NeST.

Ndugu Mnzava ametoa maagizo hayo leo Aprili 24, 2024 Wakati anaweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Kidugalo Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga, Mkoani Morogoro mradi ambao utagharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi 322 Mil.

Amesema, lengo madhubuti la kukumbushana mara kwa mara kuhusu mfumo wa Nest ni kutaka wazabuni wote waingie kwenye mfumo huo, washindanishwe kwa kutumia mfumo huo na yule atakayekidhi vigezo vilivyowekwa atakuwa ameshinda kihalali zabuni hiyo hivyo mfumo huo utaondoa manung'uniko ya wazabuni.

Mradi huo ambao uko katika kata ya Iragua unajengwa tanki la maji lenye ujazo wa lita 7,5000 na unakwenda kunufaisha wananchi 6,700 na kwa sasa unatoa huduma ya maji kwa wakazi 5,814.

Lengo kuu la mradi huo ni kutatua changamoto ya Maji kwa wananchi wa kijiji cha Kidugalo wapatao 5,814 kupitia fedha zilizotokana na mfuko wa maji wa Taifa (NWF).

Katika hatua nyingine Mwenge wa Uhuru ukiwa Wilayani Ulanga umeweka jiwe la msingi la ujenzi wa Ofisi ya Kijiji cha Kidugalo, mradi ambao umejengwa kwa nguvu za wananchi pamoja na fedha za ujirani mwema(CSR) kutoka Kampuni ya Kilombero Valley Teak (KVTC)

Kesho Aprili, 24, 2024 Mwenge wa uhuru  wenye kaulimbiu Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Maendeleo ya Taifa Endelevu, unaendelea na mbio zake katika Wilaya ya Malinyi

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.