• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Mwenge wa Uhuru wasisitiza ufuatiliaji, usimamizi miradi

Posted on: May 11th, 2023

Mwenge wa Uhuru wasisitiza  ufuatiliaji, usimamizi miradi ya maendeleo.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Abdallah Shaib Kaim amewataka Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kufuatilia na kusimamia kwa karibu  miradi ya maendeleo katika maeneo yao kwa kuwa Serikali imetoa fedha nyingi kwa ajili ya maendeleo ya wananchi.


Ndg. Abdallah Shaib ametoa kauli hiyo Mei 10 mwaka huu kabla ya kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa shule shikizi ya Mhovu iliyopo Kata ya Ruaha  Wilayani Kilosa.

Kiongozi huyo wa mbio za mwenge amesema Serikali inatoa fedha nyingi kwa kila miradi ili iweze kutekelezwa na kutoa huduma kwa wananchi wake hivyo Viongozi wa maeneo husika wanatakiwa kufuatilia ili kujiridhisha na hali ya utekelezaji wake.


“…Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 unasisitiza kwa kupitia ofisi yako Mkuu wa Wilaya, Mbuge na Viongozi wa Halmashauri kufuatilia miradi hiyo kwa karibu…” amesema Ndg. Abdallah Shaib.


Akiwa katika shule ya sekondari ya Mazinyungu amewataka wote Kila mmoja mahali alipo kujijengea Tabia ya kupanda miti na kutunza ili kuhifadhi mazingira na kutunza vyanzo vya maji.


Awali akiwa katika mji mdogo wa Mikumi Kiongozi huyo na ujumbe wake wametembelea  Hospitali ya St. Kizito iliyopo Mikumi Wilayani Kilosa kutoa pole kwa wagonjwa, na kugawa msaada wa vyakula kwa wanawake wajawazito ikiwa ni pamoja na sukali na Michele.

Kwa upande wake mbunge wa Kilosa Mhe. Prof. Paramagamba Kabudi ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Jimbo lake.


Mwenge wa Uhuru umekamilisha mbio zake Wilayani Kilosa ambapo umepitia Miradi 7 ya maendeleo  yenye thamani ya Tsh bilioni 1.2.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.