• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

MWENYEKITI CCM ATAKA CHAMA KUWEKEZA KWENYE MIGODI

Posted on: March 2nd, 2022

MWENYEKITI  CCM MOROGORO ATAKA CHAMA KUWEKEZA KWENYE MADINI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro Mhe. Doroth John amekitaka Chama hicho Mkoani humo kukuza uchumi wake kupitia fursa ya madini yanayopatikana katika Mkoa huo na kuazisha miradi mipya ili kukiimarisha zaidi kiuchumi kupitia Sekta hiyo ya Madini.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Mhe. Dorothy John akiongea na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Halmashauri ya CCM Mkoa, Machi 2 mwaka huu

Mwenyekiti Doroth ametoa agizo hilo Machi 2 mwaka huu wakati akifungua Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya CCM  Mkoa wa Morogoro  uliofanyika Wilayani Ulanga Mkoani humo.

Amesema, Mkoa wa Morogoro una utajiri mwingi wa madini  karibu Wilaya zote ikiwemo Wilaya ya Ulanga ambayo ina utajiri mkubwa wa madini ya Kinywe (Graphite) ambayo yana ubora mkubwa duniani na kwamba chama kinatakiwa kutumia fursa hiyo kuanzisha miradi yake kwa kumiliki vitalu vya  uchimbaji madini kwa lengo la kukiimarisha Chama hicho kiuchumi.

Sehemu ya wajumbe wa Mkutano huo. 

“tunahitaji kuleta miradi mipya ya kiuchumi ndani ya Mkoa wetu, miongoni mwa miradi hiyo tuwekeze kwenye madini yaliyopo kwenye Mkoa wa Morogoro, kwa hiyo kila Wilaya itambue fursa iliyopo ndani ya Wilaya ya Ulanga na Wilaya zingine zenye madini ndani ya Mkoa wetu” amesema Mhe. Doroth.

Kiongozi huyo wa chama Mkoa wa Morogoro ameendelea kusisitiza zaidi kwamba umefika wakati sasa chama hicho Pamoja na kujiimarisha kiuchumi lakini pia kinatakiwa kiwe mfano kwenye masuala ya kiuchumi.

“Twende tukaombe vitalu kisheria tuweze kumiliki na sisi migodi hiyo ili CCM yenyewe iweze kuongoza njia, uongozi ni kuongoza njia, usipoongoza hakuna wa kukuongoza” amesisitiza.

Mhe. Elias Mpanda Katibu wa CCM Mkoa wa Morogoro

Mhe. Ngollo Malenya Mkuu wa Wilaya ya Ulanga


Maeneo ya machimbo ya mgodi wa madini ya Kinywe uliopo Wilayani Ulanga ambapo wajumbe walipata fursa ya kuutembelea, Machi 2, 2022

Katika hatua nyingine Mwenyekiti huyo amewapongeza viongozi wa chama hicho ngazi ya Wilaya kwa kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya Maendeleo ya UVIKO – 19 na kwamba umoja na juhudi hizo walizoonesha zimemjengea heshima na kuonesha moyo wa shukrani kwa Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maeneo ya machimbo ya mgodi wa madini ya Kinywe ambapo wajumbe walipata fursa ya kuutembelea


 

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.