• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili Mkoani Morogoro

Posted on: July 7th, 2021

Rais wa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 7 Julai, 2021 anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku mbili Mkoani Morogoro akitokea Jijini Dodoma.

Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela imeeleza kuwa Mhe. Samia Suluhu Hassan atawasili Wilayani Gairo saa 5:00 asubuhi kwa ajili ya kuwasalimia na kuzungumza na wananchi wa Gairo na saa 8:00 alasiri atawasili eneo la Dumila Wilayani Kilosa ambapo pia atazungumza na wananchi.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Shigela amesema majira ya saa 10:00 jioni Mhe. Samia Suluhu Hassan atapokelewa Manispaa ya Morogoro eneo la kituo kikuu cha mabasi yaendayo Mikoani cha Msamvu ambapo atazungumza pia na wakazi wa Halmashauri hiyo pamoja na maeneo jirani.

Siku ya pili, yaani tarehe 8 Julai, 2021 Rais Samia Suluhu Hassan atafungua Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristu Tanzania – CCT ambao ndio Mkutano Mkuu wa Maaskofu wote wa Jumuiya ya Kikristu utakaofanyika Mkoani hapa.

Wananchi wote wa maeneo yaliyotajwa hapo juu ikiwa ni pamoja na Gairo Mjini, Dumila na Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro mnahimizwa kujitokeza kwa wingi kumlaki Rais wetu  ikizingatiwa kuwa hii ni ziara yake ya kwanza kuja Morogoro tangu ashike wadhifa huo wa Urais.


NB. Bonyeza link hapa chini kuona habari hii katika youtube channel yetu. please subscribe, share, like and comment.

https://www.youtube.com/watch?v=GekZ17DwNEY

 

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.