• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RAS MOROGORO AWATAKA WATENDAJI WA AFUA ZA AFYA WASHIRIKIANE.

Posted on: March 1st, 2025


Watendaji wa afua  tano za Afya, fursa za ujifunzaji wa awali, Ulinzi na usalama wa mtoto na malezi yenye mwitikio wametakiwa kushirikiana katika kutekeleza program Jumuishi ya Taifa ya Malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ( PJT - MMMAM) ili kufikia malengo ya kuhakikisha malezi na makuzi  mazuri kwa watoto yanafikiwa.

Wito huo umetolewa Februari 28, 2025 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa  wakati akifungua kikao cha tathimini ya utekelezaji wa program jumuishi ya Taifa ya Malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto ( PJT - MMMAM) kilichofanyika ukumbi wa hospital ya rufaa ya Mkoa wa morogoro.

Dkt. Mussa amesema, kuna umuhimu mkubwa wa watendaji hao  wanashirikiana katika kuhakikisha wanatekeleza program zinazoanzishwa zinafanikiwa kwa kuzifikia jamii lengwa ili kufikia malengo ya progrmu hizo zinazoazishwa na Serikali kwa manufaa ya wananchi

"..Hatuna Cordination, mwalimu anafanya kivyake, daktari kivyake, ustawi wa jamii kivyake, kila mtu kivyake mwisho wa siku tunatengeneza program hatuwezi kuzikamilisha .." amesema Dkt. Mussa Ali Mussa.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Morogoro Bi. Jesca Kagunila amesema, katika kutekeleza programu ya PJT - MMMAM, kwa mwaka 2024 MKoa umeweza kufanikiwa kutambua na kusajili vituo vya kulelea watoto  (day care center)  357 ambapo vituo vilivyosajiliwa ni 95 sawa na asilimia 27% na vituo visivyosajiliwa ni  262 saw na asilimia 73%. 

Pia kama Mkoa umeendelea  kutumia vyombo vya habari katika kutoa elimu na kuhamasisha wazazi na walezi kuhusu malezi, makuzi na maendeleo ya mtoto.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.