• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RAS MOROGORO: SHULE ZATAKIWA KUTUMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Posted on: September 4th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa ameagiza shule zote za Mkoa wa Morogoro kutumia nishati safi ya kupikia ikiwa ni jitihada za kuunga mkono na kutekeleza maagizo ya serikali ya kulinda mazingira ili kuondokana na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi.

Dkt. Mussa ametoa agizo hilo Septemba 4, mwaka huu akiwa Wilayani Gairo Mkoani humo akiendelea na ziara yake ya kuangalia hali ya lishe mashuleni na kukagua utekelezaji wa maagizo ya serikali ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Amesema, athari zinazotokana na nishati chafu ya kupikia ni pamoja na magonjwa katika mfumo wa upumuaji, mazingira hatarishi wakati wa kutafuta kuni na kuhatarisha upotevu wa misitu, hivyo amezitaka taasisi mbalimbali Mkoani humo zikiwemo shule za msingi na Sekondari kutumia nishati safi ya kupikia.

“…agizo la serikali lilishatolewa kila penye watu mia wanapaswa kutumia nishati safi ya kupikia mkae muwashauri walimu katika shule zao waache matumizi ya kuni…” amesema Katibu Tawala wa huyo wa Mkoa

Katika hatua nyigine, Dkt. Mussa amewataka maafisa kilimo kuanzia ngazi ya halmashauri hadi ya Kijiji kushirikiana na walimu wa shule za Msingi na Sekondari kuwapa elimu bora ya kilimo na kutoa mbegu bora, mbolea na dawa za kuua wadudu ili kulima mboga mboga, hivyo kuimarisha lishe bora kwa  wanafunzi.

Afisa Lishe wa Mkoa wa Morogoro Bi. Salome Magembe kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Best Richard Magoma amesema walimu pamoja na kamati ya shule inapaswa kubaini namna bora ya kuwashawishi wazazi kuchangia chakula ikiwemo kutoa chakula kinachopatikana katika maeneo wanayoishi.

Naye, Afisa elimu ya watu wazima na elimu maalum Mkoa wa Morogoro Bi. Rodha Sheba Murusuri amewashauri walimu wa shule hizo kulima mazao mbalimbali yakiwemo mahindi pamoja na mbaazi ili kupunguza mzigo kwa wazazi kuchangia maharage kwa ajili ya mboga.

Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.