• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC APIGA MARUFUKU UUZAJI MASHAMBA.

Posted on: March 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa 

Mkuu wa wilaya ya kilosa (Mhe. Shaka Hamdu Shaka)  akiwa na Mbunge wa kilosa (Pro. Palamagamba Kabudi) kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa amepiga marufuku uuzwaji wa mashamba yaliyorudishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan yaliyopo Mkoani humo yakiwemo mashamba ya Wilaya ya Kilosa huku akimwagiza Mkuu wa Wilaya hiyo Shaka Hamdu Shaka kusimamia agizo hilo la kuacha kuuza mashamba badala yake waweke utaratibu wa kuyagawa mashamba kwa wananchi ili waweze kukuza uchumi wao.

Mhe.Fatma mwassa ametoa agizo hilo machi 7 mwaka huu wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri cha Mkoa wa katika ukumbi wa Hoteli ya Morena Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

“… Mhe. Samia Suluhu Hassan amerudisha mashamba mengi hapa Morogoro jambo la kusikitisha yale mashamba yanauzwa usiku na mchana…naomba kuungwa mkono na iwe sehemu ya maazimio yetu na nitataka kura za wanayoafiki ajenda hii sisi tumesema hatutatoa hati"   amesema Fatma Mwassa.

 

"....Mashamba hayo  ni mashamba ya wananchi hasa vijana…” ameongeza Mhe. Fatma Mwassa.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesema mashamba hayo  hayatatolewa hati kwa wanunuaji kwani watapewa wananchi wa Morogoro ili kuinua kipato cha wananchi  hasa vijana.

Prof. Palamagamba Kabudi Mbunge wa Kilosa  akiwa anachangia mada kwenye kikao cha tarehe 7 kamati ya ushauri ya Mkoa.

Kwa upande wake, Mbunge wa Kilosa Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amepongeza mpango wa matumizi bora ya ardhi ambayo Wakuu wa Wilaya wanatilia mkazo na kusimamia ipasavyo, aidha, ameshauri kuboresha miundombinu ya wafugaji kwa kuwatengea maeneo ya kufugia kwa kufanya hivyo watapunguza au kuondoa kabisa migogoro ya wakulima na wafugaji Mkoani humo.

Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.