• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC CHALAMILA AHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA NANENANE.

Posted on: July 19th, 2024



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila amewataka wananchi wa Mikoa ya Tanga, Pwani, Dar Es Salaam, Morogoro na mikoa ya jirani kushiriki kikamilifu  maadhimisho ya siku ya wakulima maarufu kama Nanenane kwa lengo la kujipatia maarifa na utaalam mpya wa kuendesha shughuli zinazohusu kilimo, ufugaji na Uvuvi.


Mhe. Chalamila ametoa kauli hiyo wakati akifunga kikao cha maandalizi ya sherehe za nanenane 2024 Kanda ya Mashariki  kilichofanyika katika viwanja vya Julius Nyerere vilivyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ikiwa ni maandalizi ya mwishoni ya maadhimisho hayo yanayotarajiwa kufanyika kuanzia Agosti Mosi hadi Agosti 8 mwaka huu.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema sherehe za Nanenane za mwaka huu ni za kipekee kutokana na uwepo wa mvua za kutosha zilizowezesha kustawisha mazao ya kutosha kwa maeneo mengi hapa nchini, hivyo wananchi watapata fursa ya kuona vipando vya mazao mbalimbali, mifugo na uvuvi katika maadhimisho hayo na kujifunza teknolojia mpya katika sekta hizo.


"... Wananchi wote waamshwe na kengele ya nanenane, nanenane ya mwaka 2024 ni nanenane ya kipekee.." amesema Mhe. Chalamila.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuboresha Sekta ya Kilimo na kuhama kutoka kilimo siasa (political Agriculture) kwenda kwenye kilimo cha kiuchumi (Economic Agriculture) kikiwa na nia ya kumsaidia mkulima kuzalisha mazao yenye viwango yanayoendana na soko la kimataifa hivyo kuboresha maisha ya mtanzania.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.