• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Huduma za maji
      • Miundombinu
      • Huduma za Ugani
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Kilombero
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC FATMA MWASSA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA WAWILI.

Posted on: January 27th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakar Mwassa amewaapisha Wakuu wa Wilaya za Kilosa na Morogoro walioteuliwa hivi karibuni na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa ajili ya kuongeza kasi ya utendaji kazi katika ngazi hiyo.

Mhe. Shaka Hamdu Shaka Mkuu wa Wilaya ya Kilosa akisaini hati ya kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatm Mwassa.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro (kushoto) Mhe. Rebeca Sanga Nsemwa  na  Mhe.Shaka Hamdu Shaka Mkuu wa Wilaya ya Kilosa wakila kiapo cha uadilifu leo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro.

Hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo Januari 27 katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.

Wakuu wa Wilaya walioapishwa ni Mhe. Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa na Mhe. Rebeca Sanga Nsemwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro.

Mara baada ya kuwaapisha,  Mkuu huyo wa Mkoa amesisitiza kufanya kazi kwa umoja,  kuwa wabunifu, kufanya kazi kwa bidii na kuacha alama za kukumbukwa pindi wamalizapo kuhudumu  na kufanya kazi kwa ushirikiano kama timu ili kuyafikia mafanikio na malengo waliojiwekea.

“...sisi ni timu moja, tuache alama”. Amesema Mhe. Fatma Mwassa.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Mwassa (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Wilaya za Morogoro na Kilosa na baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Morogoro.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU(MOCK) KIDATO CHA NNE MEI-2019 MOROGORO July 29, 2019
  • Karibu kuwekeza Mkoani Morogoro September 26, 2019
  • Ifahamu Miongozo ya uazishwaji wa minada ya mifugo, uuzaji wa mifugo katika minada, ukusanyaji wa mapato kupitia minada, nyaraka zinazohitajika katika kusafirisha mifugo n.k Bofya hapa.. February 14, 2020
  • MAONESHO YA NANENANE July 27, 2022
  • View All

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA MPUNGA KUNUFAIKA NA MRADI WA FTMA

    March 23, 2023
  • RAS MOROGORO AISHAURI TBA, AWATAKA KUFANYA KAZI KWA UFANISI

    March 21, 2023
  • TAASISI ZA KIDINI MOROGORO ZAPONGEZWA KATIKA KULETA MAENDELEO.

    March 20, 2023
  • SERIKALI YASHAURIWA KUTOA FEDHA KUTEKELEZA MIRADI YA UTAFITI

    March 16, 2023
  • View All

Video

Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2020 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.