• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima aagiza TAKUKURU kuchunguza ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 400 za vyama vya ushirika.

Posted on: January 10th, 2024

RC Malima aagiza TAKUKURU kuchunguza ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 400 za vyama vya ushirika.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amemuagiza Mkuu wa Tasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Wilaya Mvomero kuchunguza ubadhirifu wa fedha shilingi zaidi ya milioni 400 zilizotakiwa kwenda kwa wakulima wa miwa kata ya Mtibwa Wilayani Mvomero kutoka chama cha mikopo cha Turiani (TURISACCOS).

Mhe. Malima ametoa agizo hilo Januari 9 mwaka huu wakati akizungumza kwenye mkutano na vyama vya Ushirika vya wakulima wa miwa Wilayani Mvomero uliofanyika katika ukumbi wa Community Centre uliopo Wilayani humo.

Imeelezwa kuwa kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 400 zinadaiwa kuchukuliwa na viongozi hao bila ridhaa ya wakulima hao wa TURISACCOS ambacho kinahudumia wanachama wa vyama vya wakulima wa miwa, kwa sababu hiyo Mhe. Adam Malima amekasirishwa na kitendo hicho na kuagiza Mkuu wa TAKUKURU Wilayani ya Mvomero kushirikiana na Mkuu wa Usalama wa Wilaya hiyo kuchunguza suala hilo ili hatua zaidi zichukuliwe kwa watakaobanika pindi uchunguzi huo utakapokamilika.

Ubadhirifu huo unadaiwa kufanywa na viongozi wa TURISACCOS wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho na viongozi wengine ambapo tayari wamefikishwa mahakamani lakini kesi hiyo inasemekana kufutwa eti kwa sababu ya kukosekana kwa ushahidi.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.