• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima aahidi ushirikiano kwa "Afande Sele" kuhusu utunzaji wa mazingira.

Posted on: December 22nd, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amemuahidi Bw. Seleman Msindi maarufu kama “Afande Sele” ambaye ni Balozi wa Mazingira hapa nchini kumpa kila ushirikiano katika kufanikisha azma yake ya kufikisha elimu ya mazingira kwa jamii.

Mhe. Malima ameyasema hayo Disemba 20 mwaka huu wakati akizungumza na Waandishi wa Habari muda mfupi baada ya kuzungumza na Afande Sele ofisini kwake kuhusu utunzaji wa mazingira na vyanzo vya maji hapa nchini.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema, wajibu wa kila mmoja ni kutambua umuhim wa utunzaji wa mazingira na elimu hiyo ya mazingira ni muhim iwafikie watu wengine huku akimuhakikishia Balozi huyo kumpa ushirikiano wa kutosha katika kutekeleza jambo hilo la kitaifa.

“...na mimi nataka nimuhakikishie tu kwamba Serikali ya Mkoa wa Morogoro itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kwamba inampa ushirikiano katika kutekeleza hili...” amesema Mhe. Adam Malima.

Aidha, Mhe. Malima amesema Ofisi yake itahamasisha wadau wa wengine wa mazingira Mkoani humo ili waweze kushirikiana na Balozi huyo katika kufikisha elimu ya utunzaji wa mazingira kwa jamii, lengo likiwa ni kutimiza azma yake.

Sambamba hilo Mkuu huyo wa Mkoa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira hapa nchini.

Kwa upande wake Afande Sele ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Afande Sele Foundation (ASEFO) ambaye pia ni Balozi wa Mazingira, amesema lengo la kukutana na Mkuu huyo wa Mkoa ni kuomba uwezeshaji kutoka Ofisi yake na wadau wengine wa mazingira ili aweze kufikisha elimu ya utunzaji wa mazingira kwa jamii.

Afande Sele, ametoa wito kwa jamii kutimiza wajibu wao kwa vitendo katika utunzaji wa mazingira kutokana na kwamba athari za mazingira zinamgusa mtu yeyote hapa Duniani.

 

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.