• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima afafanua usitishwaji wa mikopo ya asilimia 10.

Posted on: November 2nd, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima amesema usimamizi mbovu wa mikopo ya asilimia 10 ya Wanawake, Vijana na wenye ulemavu umepelekea Serikali kusitisha utoaji wa Mikopo hiyo kwenye Halmashauri hapa nchini.

Mhe. Malima ametoa kauli hiyo Novemba 2 mwaka huu kwenye mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na waandishi wa Habari uliolenga kutangaza mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Sita Mkoani Morogoro, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha sababu zilizopelekea Serikali kusitisha utoaji wa mikopo hiyo kuwa ni uwepo wa baadhi ya vikundi hewa, ucheleweshaji wa malipo kutoka kwa vikundi vilivyokopa mikopo hiyo, lakini amesema kuwa pale ambapo kuna usimamizi mzuri wa mikopo hiyo wananchi wamenufaika na mikopo hiyo. 

“...tukumbushane tu kwamba ile mikopo ya asilimia 10 haikuzuiliwa kwa sababu ya sera yenyewe ya mikopo, mikopo ile ilizuiliwa kwa sababu ya usimamizi mbaya wa ile mikopo...” amesema Mkuu wa Mkoa.


Aidha, Mhe. Malima amesema MkoaO umepanga kuomba vibali vya utoaji mikopo kwa vikundi vyenye malengo maalum hususan kuongeza tija ya uzalishaji hiyo pamoja na kuboresha mfumo wa utoaji wa mikopo hiyo hususan usaili wa vikundi vitakavyo omba mikopo hiyo.

 Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa mchango wake katika maendeleo ya Mkoa huo ambapo hakuna Wilaya ambayo imeachwa nyuma kimaendeleo hususan ya kiuchumi, kijamii, kisiasa. Hata hivyo amesema Mkoa unajivunia uwekezaji uliofanywa na Serikali ya Dkt. Samia katika sekta ya Umma na binafsi.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.