• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima ahimiza ushirikiano baina ya serikali na NGOs.

Posted on: December 18th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima ametaka uwepo ushirikiano wa kutosha baina ya mashirika yasiyo ya kiserikali na serikali kwa kuwa na misingi ya kuaminiana kwa kila pande ili kulinda maslahi ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Malima ametoa rai hiyo Disemba 18, Mwaka huu wakati wa kikao na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) Mkoani humo kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkoa huo kikiwa na lengo la kuweka mikakati na maazimio ya namna ya kufanya kazi pamoja.

“... Leo tumejenga misingi ya kuaminiana na kuambiana lakini pia kutambua kwamba hakuna uhuru usio na mipaka wao ni mashirika yasiyo ya kiserikali lakini miongozo ipo ya kufuata...” amesema Mhe. Adam Malima.

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesema mashirika hayo yana uhuru wa kufanya kazi lakini yanapaswa kushirikiana na serikali ili kuendelea kuondoa kasoro ndogo ndogo zilizopo na kuyataka kufuata taratibu, kanuni na sheria za kujisajili na namna ya kuendesha kazi zao kwa manufaa yao na Taifa kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Mashirika yasiyo ya kiserikali Taifa Bi. Mwantumu Mahiza amezitaka NGOs Mkoani humo kufanya kazi zao kwa uwazi, ukweli na kujituma zaidi kwa kujua kuwa wanafanya kazi pamoja na serikali katika maeneo yao na kwa kushirikiana na madiwani, wenyeviti wa vitongoji na vijiji.

Awali, Afisa maendeleo ya jamii Mkoa wa Morogoro Bi. Adelfina Pacho amesema kikao hicho kimelenga kulenga kujenga ushirikiano mzuri baina ya NGOs na serikali ndani ya Mkoa huo katika utekelezaji wa majukumu yao.


Naye, Mwakilishi wa Mashirika yasiyo ya kiserikali Mkoa wa Morogoro Bw. Otanamus Nicholas ameyashukuru mashirika hayo kushiriki kikao hicho  ambapo amesema kimeweka wazi utekelezaji wa kila shirika na kunuia kufanya kazi na Serikari inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ili kuwaletea tija wananchi wake.

Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.