• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima aitaka Manispaa ya Morogoro kujikita utunzaji Mazingira.

Posted on: February 6th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kujikita katika utunzaji wa mazingira kwa upandaji wa miti hususan mazao ya biashara yakiwemo karafuu na michikichi katika maeneo ya milimani.

Mhe. Malima ameyasema hayo Februari 5, 2024 wakati wa kikao cha kupitia bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo.

Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha kuwa upandaji wa mazao ya biashara itasaidia kukuza uchumi wa wananchi, Halmashauri na Mkoa kwa ujumla hivyo akautaka uongozi kuhakikisha wanazingatia utunzaji wa mazingira.

“...kwahiyo tunachosema ni kwamba kwenye hii vita ya kuokoa mazingira, ya kupanda miti ‘it must be targeted’ kwenye mambo mawili mazingira na maisha...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ameitaka Halmashauri hiyo kuwachukulia hatua watakao haribu mazao yatakayopandwa kutokana na umuhim wa mazao hayo kwenye uchumi wa Mkoa wa Morogoro.

Katika hatua nyingine Mhe. Malima ameitaka Halmashauri hiyo kuongeza juhudi katika ukusanyaji wa mapato zaidi matumizi sahihi ya fedha na yasiyo na maswali wakizingatia kuwa halmashauri yao inatakiwa kuwa ni mfano kwa Halmashauri nyingine kwa ndani ya Mkoa huo.

Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa ameisisitiza Halmashauri pamoja na kujikita kwenye kilimo cha mazao kama michikichi, kakao, parachichi na karafuu ambayo ni rafiki lakini pia kwa upande wa miti kupanda miti ambayo ni rafiki kwa binadamu moja kwa moja ili asiweze kuikata kwa kuwa ina faida kwake hususan maeneo ya milimani.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • Vyama vya Ushirika Vyatakiwa Kutumia TEHAMA

    May 14, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.