• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima akerwa na migogoro ya ardhi Kambala.

Posted on: January 8th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amekerwa na migogoro ya ardhi inayoendelea katika Kijiji cha Kambala kilichopo katika Wilaya ya Mvomero ambapo amedai kuwa migogoro hiyo inazolotesha maendeleo kijijini hicho, Wilaya na Mkoa kwa jumla.

Mhe. Malima ameyasema hayo Januari 7 mwaka huu wakati akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Kambala kwenye mkutano wa hadhara ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za wananchi Mkoani Morogoro.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema Kijiji hicho ambacho kilitakiwa kuwa mfano wa maendeleo kama maono ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuona Tanzania inakuwa na maendeleo mazuri badala yake Kijiji hicho ‘kimegubikwa’ na migogoro ya umiliki wa ardhi inayopelekea umasikini kwa wakazi wake.

“...nimeletewa taarifa za migogoro, migongano na mitafaruku ya Kambala...imenikera sana...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Hata hivyo, Mhe. Malima ameahidi kupeleka timu ya wataalam wa ardhi ikiongozwa na Kamishna wa Ardhi Mkoa wa Morogoro Bw. Frank Minzikuntwe ili Kwenda kuweka michoro ya maeneo yenye migogoro na kumaliza migogoro hiyo.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa amewashauri wafugaji katika Kijiji hicho na Mkoa mzima kwa ujumla kufanya ufugaji wao kuwa wa kibiashara ili kuinua uchumi wao, Wilaya na Taifa kwa ujumla huku akibainisha kuwa matarajio yake ni kuona wafugaji hao wanakuwa mfano kwa wafugaji wengine hapa nchini.


Lakini pia amewatka wafugaji hao kuonesha umuhim wao kwa jamii inayowazunguka na Serikali kwa jumla kwa kuchangia miradi ya maendeleo ikiwemo miradi ya Maji, Afya na Elimu kwani kwa kufanya hivyo watajijengea heshima na kuthaminiwa.

Kwa upande wa wafugaji akiwemo Tesha Saning’o, wameeleze kuwa changamoto zinazowakabili kijijini hapo ni Pamoja na ukosefu wa maji kwa ajili ya mifugo na matumizi yao huku Mganga Mfahi wa zahanati ya Kambala Dkt. Daniel Saninga amesema Sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto ya upungufu wa watumishi na nyumba za watumishi ambapo amesema kwa sasa watumishi hao wanaishi katika baadhi ya vyumba vya zahanati hiyo.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.