• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima ataka kuongeza kasi ujenzi wa Ofisi mpya.

Posted on: November 21st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amemtaka msimamizi wa ujenzi wa Ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kuongeza kasi ya ujenzi huo ambao hadi sasa umefikia asilimia 50.

Mhe. Malima ametoa kauli hiyo Novemba 21 mwaka huu wakati akikagua ujenzi wa Ofisi hiyo mpya ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kwa lengo la kuangalia maendeleo ya ujenzi huo na hatua iliyofikia.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa ujenzi huo unatarajia kukamilika ifikapo May 2024 ambapo hadi sasa imebaki miezi 6 hadi mradi huo kukamilika hivyo amemtaka msimamizi wa ujenzi huo kuongeza kasi ya ujenzi ikiwezekana ukamilike kabla ya wakati.

“...jengo zuri kama hili la Mkuu wa Mkoa limekaa mahari pazuri, mandhari nzuri, umeme upo, mchanga upo, maji yapo  kila kitu kipo, hivi wakifanya kazi usiku na mchana waseme mwezi wa nne wako tayari kukabidhi jengo shida ipo wapi...” amesema Mkuu wa Mkoa.

Aidha, Mhe. Malima amemtaka msimamizi wa ujenzi huo ambao ni Wakala wa Majengo Tanzani - TBA kuwasilisha katika ofisi yake taarifa ya maendeleo ya ujenzi huo kwa kila mwezi hadi ujenzi huo utakapokamilika.

Sambamba na hilo, Mkuu huyo wa Mkoa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kutoa fedha zaidi ya shilingi bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Katika hatua nyingine, Mhe. Malima amesema Mkoa unaendelea na juhudi za kutunza mazingira hivyo kila shughuli itakayofanyika itazingatia utunzaji mazingira Mkoani humo.

Kwa upande wake Meneja wa Wakala wa Majengo Tanzania Mkoa wa Morogoro Mhandisi Rebeca Kimambo ambaye pia ni Mhandisi mshauri wa ujenzi huo amesema mradi wa ujenzi wa Ofisi hiyo mpya ya Mkuu wa Mkoa ulianza rasmi May 2022 na unatarajiwa kukamilika May 2024, ujenzi huo umefikia asilimia 50 na mkandarasi ameshalipwa shilingi bilioni 2 sawa na asilimia 30 ya malipo yake.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.