• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MALIMA ATOA WITO KWA WADAU KUSAIDIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO

Posted on: June 28th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewaomba wadau mbalimbali wa sekta za umma na binafsi kuendelea kutoa misaada yao ya hali na mali kwa lengo la kuwasaidia na kuwafariji waathirika wa mafuriko yaliyotokea takribani Halmashauri zote za Mkoa wa Morogoro.


Mhe. Malima ametoa wito huo Juni 28, 2024 wakati akipokea vifaa mbalimbali kutoka kwa Taasisi isiyo ya kiserikali ya The Islamic Foundation kwa ajili ya waathirika  hao ikiwemo Nguo, Mafuta, Magodoro, Mashati na Madaftari kwa ajili ya wanafunzi pamoja taulo za kike.

"...tunawashukuru ndugu zetu hawa lakini tunatoa wito kwa ndugu zetu wengine kuiga mfano huu wa Islamic Foundation, bado Morogoro mahitaji ni makubwa..." Amesema Mhe. Malima 

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesema The Islamic Foundation wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa kutoa msaada wa Vifaa mbalimbali kwa waathirika na kubainisha kuwa taasisi hiyo imekuwa mstari wa mbele katika masuala ya kijamii hususan ushirikiano waliouonesha wakati wa athari za mvua za El nino.

Kwa sababu hiyo, Mhe. Adam Malima amewataka watendaji wote ngazi ya Halmashauri hadi kijiji kugawa misaada hiyo kwa utaratibu uliopangwa kulingana na tathmini itakayofanyika lengo ni msaada huo kuwafikia walengwa na si vinginevyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa The Islamic Foundation Sheikh. Arafat Badru amesema wamepeleka msaada huo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa sababu wameona kuwa hapo ndipo mahali sahihi na salama kwa msaada wao kuwafikia walengwa na kwamba msaada huo una thamani ya takrabani shilingi 30 Mil.



Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.