• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MALIMA AWAPONGEZA MASISTA WA MBINGU, AMUAGIZA MKURUGENZI KUSHUGHULIKIA MGOGORO WA ENEO LAO.

Posted on: June 14th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewapongeza Masista wa upendo wa Mtakatifu Fransisko kilichopo Mbingu Wilayani Kilombero Mkoani humo kwa uwekezaji wanaoufanya katika Sekta ya kilimo, ufugaji na kijamii.

Mkuu wa Mkoa Mhe. Adam Malima akimsalimia sista mmojawapo katika kituo cha upendo wa Mtakatifu Fransisko.

Mhe. Malima ametoa pongezi hizo Juni 8 mwaka huu alipotembelea Kituo hicho cha masista kwa lengo la kuwapa pole ya kuvamiwa katika kituo hicho mwanzoni mwa mwezi huu na watu wasiojulikana na kupora baadhi ya mali zao .

Hapa Mhe. Adam Malima ana imba wimbo pamoja na Masista.

Sambamba na pongezi hizo akiwa kituoni hapo Mkuu wa Mkoa amesema kwa uwekezaji wanaoufanya kwenye miradi ya Afya, elimu, maji na umeme wa maji, na kuongeza kasi ya maendeleo yao na jamii inayowazunguka kwa jumla.

Hapa Mkuu wa Mkoa anapokea risala kutoka kwa msomaji wa risala hiyo.

kuhusu mgogoro wa ardhi uliopo baina yao na wananchi wa eneo hilo, Mhe. Adam Malima amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba Mhandisi Stephen Kaliwa kutuma wataalam wa idara ya ardhi kutoka katika Ofisi yake kwa kushirikiana na viongozi wa kituo hicho kupitia nyaraka zote za umiliki wa eneo hilo ili maamuzi yatakayotolewa yawe ya haki.

"...hili la ardhi DED yupo, DED atakaa na watu wake wa ardhi mtakuja kuangalia lile eneo, muangalie documents zao zinavyosema na kunipa mrejesho..."amesema Mhe. Adam Malima.

Mhe. Adama Malima akizungumza na viongozi pamoja na Masista wa upendo wa Mtakatifu Fransisko baada ya kuwasili kituoni hapo.

aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amewashauri Viongozi wa kituo hicho kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wenye nia ya kuwekeza katika nyanja mbalimbali walizowekeza kwa lengo la kuongeza tija zaidi.

Kwa upande wao Masista wa upendo wa Mtakatitu Frasisko wamebainisha changamoto zinazowakabili ikiwemo mgogoro wa ardhi baina ya kituo hicho na wananchi wa Kijiji cha Mbingu, wakibainisha kuwa mgogoro huo unasababishwa na baadhi ya viongozi wa kijiji kuahidi kupitia majukwaa ya kampeni za uchaguzi kuwapatia wananchi sehemu ya  ardhi ya kituo hicho, huku wakijua wazi kuwa  ardhi hiyo ni  mali ya kituo hicho.

changamoto nyingine ni ukosefu wa mawasiliano ya simu hali ambayo hupelekea kutofikisha haraka ujumbe unaokusudiwa na kumwomba Mkuu wa Mkoa kuwasaidia kupata mnara wa mawasiliano jambo ambalo Mkuu wa Mkoa alisema amelipokea na anakwenda kushughulika nalo.

shirika la masista wa Upendo wa Mtakatifu Fransisko lilianzishwa mwaka 1944 huko Mahenge Mkoani Morogoro askofu Mkapuchini kwa lengo kuu la kujitakatifunza.

Lakini pia Shirika hilo linajishughulisha na kuwahudumia watu kiroho na kimwili hususan wale watu walio katika mazingira hatarishi wakiwemo kutunza wazee wasiojiweza au kutelekezwa na ndugu zao,kuwatunza wenye matatizo ya ukoma na ugonjwa wa kifafa, wenye mtindio wa ubongo na yatima.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima (wa tatu kushoto walio kaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na  baadhi ya viongozi wa chama na serikali  na masista wa Upendo wa Mtakatifu Fransisko baada ya kuongea nao.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.