• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Malima awashukuru wanalundi kwa kuitikia fiķra ya maendeleo

Posted on: January 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewashukuru wananchi wa kata ya Lundi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kwa kuitikia fikra ya maendeleo kwa kuanza kupanda miche ya michikichi pamoja na kuandaa vitalu vya miche hiyo kwa ajili ya kuongeza kipato cha Halmashauri, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Mhe. Malima ameyasema hayo Januari 10, 2024 ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo na kusikiliza kero za wananchi Mkoani humo.

Mhe. Malima amesema miche elfu 60 ambayo wanakijiji wa Kata ya Lundi wameletewa imetoka katika kitalu cha Serikali ambapo imegawanywa kwa Wananchi hao ili kuzalisha miche mingine kupitia miche waliyoletewa kwa ajili ya kuongeza idadi ya miche ili kila mwanakijiji aweze kupata miche kwa ajili ya kupanda.

“...nawashukuru wanalundi kwa kuitikia hii fikra, ambayo ni fikra ya maendeleo na kwa maana hii ninyi mmehamasisha na sisi tunakwenda kufungua milango ya kuhakikisha tunakwenda kuwapata watanzania wengi zaidi...” amesema Mkuu wa Mkoa.


Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe kwa kutoa miche ya michikichi 100,000 kwa ajili ya kuwagawia Wanamorogoro hasa wa Kata ya Lundi.

Hata hivyo, Mhe. Malima amemuagiza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Florence Mwambene kuuboresha mradi wa kamua mafuta ya mawese uliopo Kata ya Lundi na kuufanya kuwa rasmi na kuweka mazingira mazuri ya sehemu ya uzalishaji unayoendelea.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Lundi Mhe. Ally Hussein Mkata amesema wananchi wa Kata hiyo wamehamasika kwa kuanza kutayarisha mashamba yao kwa ajili ya kupanda miche ya michikichi, pia ameahidi kutoa shamba kubwa kwa ajili ya shughuli ya upandaji wa miche hiyo.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.