• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MALIMA AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA MIRADI.

Posted on: June 23rd, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka  wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga kusimamia miradi ya maendeleo kikamilifu ili kuweka msukumo wa kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa kwa manufaa ya wananchi.


Mhe. Malima ametoa agizo hilo Juni 22, 2024 wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja za Mdhibiti na  Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga  Mkoani Morogoro.

Kiongozi huyo amesema kuna umuhimu mkubwa kwa wahe. madiwani wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kusimamia miradi ya maendeleo inayopelekwa kwa wananchi na kuwajibika kuisimamia na pindi watakaposhindwa kuisimamia miradi hiyo watakuwa wameshindwa kufanya kazi yao ya msingi.

".. Kazi yenu nyie madiwani ni kusimamia miradi mkishindwa kusimamia mtakuwa mmeshindwa kufanya kazi yenu ya msingi.." amesisitiza Adam Malima.

Aidha Mhe. Malima amewasisitiza watumishi wa Wilaya hiyo kufanya kazi kwa maslahi  mapana ya wanaulanga na sio kwa maslahi yao binafsi, pia watumishi kufanya kazi kwa umoja na ushirikiano baina yao kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya hiyo.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amesema hataki kusikia  wahe. madiwani wanaingia  kwenye migogoro ya wakulima na wafugaji bali wao waende kusimamia haki kwa watu wanao onewa na baadhi ya wafugaji ili kupunguza migogoro hiyo baina ya wakulima na wafugaji.

".. sitaki kusikia kabisa kuwa wahe. Madiwani ni sehemu ya migogoro ya wakulima na wafugaji bali nendeni mkatoe haki kwa watu wanao onewa.. " amesisitiza Adam Malima.


MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.