• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MALIMA AWATAKA MADIWANI MLIMBA KUWA NA WIVU WA MAENDELEO.

Posted on: June 21st, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Ali Malima amewataka wahe. Madiwani wa Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero Mkoani humo kuwa na wivu wa Maendeleo kwa lengo la kuendeleza Halmashauri hiyo.

Mhe. Adam Malima amesema hayo wakati wa kikao cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa halmashauri Mlimba.

Amesema, Wahe. Madiwani hawana budi kuwa na wivu wa kimaendeleo badala ya kuwa Madiwani wasioitakia mema Halmashauri yao na wananchi wake huku akiwakumbusha kuwa Halmashauri hiyo ni yao na kwamba hawana sehemu nyingine ya Kwenda kama ilivyo kwa watendaji wa Serikali wanaohamishwa kila wakati.

“Sasa mimi nachukia nikikuta sina madiwani wenye wivu wa maendeleo wana wivu wa kupiga” amesisitiza Mhe. Malima.

Pamoja na kuwataka waheshimiwa Madiwani kuwa na wivu wa kimaendeleo, amewataka kutekeleza Ilani ya chama chao kivitendo ikiwemo kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani ambao ndio mfumo wenye uhakika kwa mwananchi wao kuuza mazao yao kwa bei ya faida hivyo kujikwamua kiuchumi.

Awali akifungua kikao hicho Mkuu wa Mkoa huyo aliwapongeza wahe. Madiwani hao kwa Halmashauri yao kushika nafasi ya kwanza kati ya Halmashauri tisa za Mkoa huo kwa ukusanyaji wa mapato, usimamiaji wa Miradi ya Maendeleo Pamoja na masuala ya Elimu.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo ya Mlimba  Mhe. Innocent Mwangasa amelaani uwepo wa viashiria vya  majungu vinavyojitokeza katika Halmashauri hiyo na kumuomba Mkuu wa Mkoa na viongozi wengine kuendelea kuwa karibu nao katika kufanya vikao ili kuvikomesha vitendo hivyo.

Halmashauri ya Mlimba imepata hatia safi (hati inayoridhisha) kwa miaka mitano (5) mfululizo na katika kikao cha leo, Baraza chini ya mwenyekiti wake Mhe. Mkuu wa Mkoa mejadili jumla ya hoja sita (6) na zote zimepewa muda wa kuzikamilisha ili hoja hizo zifungwe.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.