• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MOROGORO AAGIZA TANROADS KUKARABATI BARABARA MGETA - IFAKARA MJI

Posted on: June 13th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amemuagiza meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kukarabati na kuchonga barabara inayotoka Mgeta hadi Ifakara Mji ili kurahisisha Mawasiliano Wilayani Kilombero.

Mhe. Adam Malima ametoa agizo hilo Juni 13, 2024 wakati wa ziara yake pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama (KUU) ya Mkoa huo ya kukagua miundombinu mbalimbali.

"... tulichokubaliana ni nini, kutoka hapa Mgeta hadi Ifakara ni km 77 kwa wananchi wanaweza kutumia siku nzima, sasa nimemwambia huyo bwana achonge hii barabara kwa namna yoyote wakati tukisubiri lami..." amesema Mhe. Malima

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amesikitishwa na hali ya barabara hiyo iliyoharibiwa na mafuriko ya mvua za El-nino na kutaka TANROADS kuwa wabunifu kwa kuchonga barabara hiyo ili kupitika vizuri na kuruhusu maji kupita katika mitaro wakati wananchi wakisubiri barabara ya kiwango cha lami.

Sambamba na hilo, Mhe. Adam Malima amewataka wakandarasi wanaopewa tenda  hizo kufanya kazi kwa bidii, weledi na kwa muda uliopangwa kwa lengo la kusaidia wananchi ambao ndio wenye uhitaji mkubwa wa miundombinu kuendesha shughuli zao za kiuchumi.


Mhe. Malima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kutoa fedha za dharura kwa ajili ya ukarabati miundombinu ikiwemo madaraja na barabara za Mkoani humo kutokana na athari za mafuriko ya Mvua za El-nino.

Katika hatua nyingine Mkuu huyo wa Mkoa amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mlimba kwa kushihirikiana na TARURA kuangalia namna watakavyowafidia wakazi wenye nyumba zao ambazo ziko karibu mno barabara ya kuingia Makao makuu ya Halmashauri hiyo kwa kuwa nyumba hizo ziko hatarini na sio salama kwa kuishi eneo hilo.

Mwisho.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • Zaidi ya Mil. 125 zachangwa kupitia chakula cha hisani kukarabati Hospitali ya Rufaa Morogoro.

    May 18, 2025
  • RC MALIMA ASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI, ASEMA HOSPITALI YA RUFAA INAHIMILI WAGONJWA.

    May 17, 2025
  • VYAMA VYA SIASA NCHINI VYATAHADHARISHWA

    May 15, 2025
  • RC MALIMA ATAKA VYAMA VYA USHIRIKA VYA WAFUGAJI

    May 15, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.