• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MOROGORO AKUBALI UWEKEZAJI WA DP WORLD, ATOA ANGALIZO.

Posted on: July 10th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amekubaliana na uwekezaji wa DP WORLD unaotarajiwa kufanywa katika bandari ya Dar es Salaam kwani amesema utaongeza uchumi wa Taifa na maslahi mapana hapa nchini.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima akielezea fursa zilizopo ndani ya Mkoa wa Morogoro wakati wa mahojiano na Wasafi Media.

Mhe. Malima ameyasema hayo Julai 10 mwaka huu wakati wa mahojiano na Wasafi katika kipindi chake Cha Habari za Asubuhi (Good mornging) ikiwa ni muendelezo wa programu yao ya WEKEZA NA TANZANIA YA SAMIA yaliyofanyika Ofisini kwake.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa kimsingi bandari ndio kitovu cha uchumi kwa kuwa fursa nyingi za kiuchumi zinapatikana hapo, hivyo anawashangaa watu wanaobeza makubaliano yaliyofanyanwa na serikali juu ya uendeshaji wa bandari hiyo.

Hapa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima akiwa na mwandishi wa Wasafi Media Bw. Maulid Kitenge wakati wa mahojiano.

"...na lazima uelewe bandari ni kitovu cha uchumi wa Tanzania, inapofanya kazi vizuri mambo mengi yanafunguka...unapozungumzia DP WORLD ni oparetors ambao wako duniani kote sasa kama una issue na mkataba zungumzia mkataba sio uwezo wa DP WORLD..." amesema Mhe. Adam Malima.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima (katikati) akiwa na waandishi wa habari kutoka kushoto ni Bw. Gerard Hando, Zembwela, kulia Bw. Charles William, pamoja na Bi. Salma Dacotha.

Aidha, amesema suala hilo la bandari halihitaji mambo ya siasa kwa kuwa Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa wanufaika wa bandari hiyo, hivyo amewataka wanasiasa kutoa maoni ya kuboresha mkataba kwa manufaa ya watanzania.

Katika  hatua nyingine, Mkuu huyo amesema Mkoa wa Moroogoro ni Mkoa wa kimkakati kutokana na uwepo wa mambo mbalimbali muhim hapa nchini kama vile uzalishaji wa chakula, nishati na  upatikanaji wa maji.

Katika suala viwanda, Mhe. Adam Malima amesema Mkoa umeweka mikakati ya kutangaza fursa za uwekezaji wa viwanda kwa kuwa malighafi za viwanda hivyo zipo za kutosha ndani ya Mkoa huo. Sambamba na hayo amepongeza juhudi zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuweka mazingira mazuri ya biashara na kuwavutia wawekezaji.

Pia, Mkuu huyo wa Mkoa amewakaribisha wawekezaji, kuja kuwekeza Morogoro katika sekta ya madini kutokana na uwepo wa madini mbalimbali yenye thamani yakiwemo madini ya vito, dhahabu na grafaiti.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.