• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Morogoro amshukuru Rais, amhakikishia Mhe. Mchengerwa Wanafunzi kwenda shule.

Posted on: December 30th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma  Malima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha zaidi ya shilingi bilioni 10 kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa shule za miradi ya BOOST.

Mhe. Malima ametoa Shukrani hizo leo Disemba 30, 2023 wakati wa kikao kazi cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa na Wahe. Wakuu wa Mikoa wote Tanzania Bara kilichofanyika kupitia Video Conference.

Kikao hicho kililenga kutoa taarifa ikiwa ni Pamoja na namna Wahe. Wakuu wa Mikoa hao walivyojipanga katika kuwapokea wanafunzi  watakaoanza masomo ya darasa la kwanza na watakaoanza Kidato cha kwanza hapo Januari, 2024.

Mhe. Malima Pamoja na Kumshukuru Rais kwa fedha nyingi zilizopokelewa Mkoani humo na kuelekezwa katika Sekta ya Elimu bado amempongeza kwa dhati kwa kutoa zaidi ya shilingi Bilioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa shule za Boost ambapo hadi sasa amesema kuna shule 17 za Mradi wa Boost zenye jumla ya madarasa 196 na kila Halmashauri ndani ya Mkoa huo imenufaika na mradi huo.

“…..Namshukuru sana Rais pamoja na Serikali yake kwa sababu miradi hii imejielekeza kwenye kukamilisha na kupunguza uhaba wa madarasa…” amesema Mhe. Adam Malima.

Akitoa taarifa ya wanafunzi watakaoanza kidato cha kwanza, Mkuu huyo wa Mkoa amesema waliofanya mtihani ni wananfunzi 71,922 na waliofaulu ni wanafunzi 56,604 sawa na asilimia 78.70 na akamhakikishia Waziri wa TAMISEMI kuwa wanafunzi wote 56,604 atahakikisha wanakwenda kuanza masomo yao ya kidato cha kwanza  tena kwa wakati.

akibainisha zaidi, Mkuu wa Mkoa amesema jumla ya wanafunzi hao 56,604 waliofaulu Kwenda sekondari, wanafunzi 51 watakwenda shule za vipaji maalum, wanafunzi  62 watakwenda shule ya mafuzo ya mali, na wanafunzi 83 watakwenda  shule za Bweni. Sambamba na hizo, wanafunzi 403, watakwenda shule teule, wanafuzi 98 watakwenda shule za mahitaji maalumu na wanafuzi 55907 watakwenda shule za kutwa.

Akithibitisha taarifa yake kwa Waziri, Mhe. Adam Malima amesema Mkoa huo umejipanga kukamilisha shule mpya za sekondari 9, zenye vyumba  vya madarasa 101 na pia unakamilisha madarasa 38 ya mradi wa SEQUIP yenye jumla ya shilingi bilioni 17.2 kwa miradi mbalimbali ya SEQUIP.

Mhe. Adam Malima amesema, Mkoa unaendelea kujielekeza kwenye kuongeza ufaulu wa wanafunzi ili kuboresha zaidi asilimia ya ufaulu kutoka asilimia 78.70% ya mwaka huu na kupanda zaidi.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.