• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Morogoro apiga marufuku maandamano, awashukuru wanamorogoro.

Posted on: November 3rd, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amepiga marufuku kufanya maandamano yoyote ndani ya Mkoa huo yenye lengo la kupinga matokeo ya uchaguzi Mkuu wa Tanzania  yaliyotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Loata Sanare amepiga marufuku hiyo Novemba 3 mwaka huu wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake akiwataka watanzania wote wakiwemo wa vyama vya siasa kukubaliana na matokeo yaliyotolewa ili wananchi waendelee na shughuli za kujiletea maendeleo.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema Kamati ya Ulinzi na Usalama ndani ya Mkoa huo na Tanzania kwa ujumla  ipo kwa ajili ya kulinda amani ya watanzania hivyo haitosita kuchukua hatua za kisheria kwa yeyote au kikundi chochote kitakachojihusisha kwenye maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu.

“Tunasikia sehemu wanasema kuna maandamano endelevu ya kupinga matokeo ya uchaguzi, kwamba wasipoandamana tarehe mbili wataandamana siku nyingine….sasa nataka niwambie na mimi Mkoa wa Morogoro na nafikiri na Tanzania nzima ulinzi na usalama ni endelevu na yenyewe” Alisema Loata.

“Tuwaache watanzania sasa wafanye kazi za kujiletea maendeleo, tuwaache watanzania sasa waangalie matumaini makubwa yaliyotoka kwa Mhe. mgombea Urais laikini na ahadi za Wabunge na Madiwani, basi tuhangaike tuone watatufikisha wapi si suala la kuandamana tena” Alisisitiza Loata.

Sambamba na hayo, Sanare amewashukuru Wananchi wa Mkoa wa Morogoro kwa kutoa ushirikiano mzuri katika kipindi chote cha kampeini na  uchaguzi kwa kuwa wasikivu, kufuata maelekezo ya Serikali na kudumisha amani wakati wote.

Pia, Loata Sanare amewataka wananchi wa Mkoa wa Morogoro kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu ili kuwasaidia kutimiza ahadi walizozitoa kipindi cha Kampeini huku akiwataka kujikita katika kujiletea maendeleo na kuachana na Maandamano kwa kuwa uchaguzi umekwisha.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.