• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MOROGORO ATOA SIKU TATU KWA WATAALAM ARDHI HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOROGORO

Posted on: June 10th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amewaagiza wataalamu wa ardhi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kushughulikia kero za ardhi katika Kata ya Tungi iliyopo ndani ya Halmashauri hiyo na kupeleka mrejesho kwa Mkuu huyo wa Mkoa ndani ya siku tano.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela akizungumza na wananchi wa Kata ya Tungi wakati wa ziara yake katika Kata hiyo Juni 9 Mwaka huu.


Mkuu huyo wa Mkoa ameagiza hayo Juni 9 mwaka huu wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza na kutatua kero zinazowakabili wananchi wa Kata ya Tungi katika Halmashauri hiyo.

Martine Shigela amesema hayo baada ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Tubuyu ‘B’ Bw. Ibrahim Maulid kuwasilisha kero ya migogoro ya idara hiyo ya ardhi iliyokithiri mtaani kwake, hivyo Mkuu wa Mkoa kutoa maagizo ya kushughulikiwa kwa haraka mgogoro huo ili wananchi waweze kujihusisha kikamilifu na shughuli za kimaendeleo.



“nimemuagiza Kamishna wa ardhi pamoja na wataalam wa Halmashauri kuifanyia kazi kero hiyo ndani ya siku tano na mniletee majibu juu ya malalamiko hayo” ameagiza Shigela.

Katika hatua nyingine Martine Shigela amemuagiza Meneja wa TARURA wilaya ya Morogoro kuhakikisha kero ya kufunguliwa kwa Barabara za mitaa katika Kata hiyo inashughulikiwa kikamilifu kwa kuzichonga Barabara hizo ili ziweze kupitika wakati wote na wananchi kupata huduma hiyo bila shida yoyote.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albaert Msando ameeleza baadhi ya changamoto za Kata ya Tungi zikiwemo uhaba wa upatikanaji wa maji safi na salama, uhaba wa madawati mashuleni pamoja na uchakavu wa majengo ya Shule za Msingi ambapo Serikali imeendelea kuchukua hatua ili kuzitatua changamoto hizo.

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Albart Msando akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela kuzungumza na wananchi wa Kata ya Tungi wakati wa ziara ya Mkuu huyo wa Mkoa iliyofanyika Juni 9 Mwaka huu.


Kwa upande wake diwani wa Kata hiyo Bw. Mchunguzi Namala pamoja na kuwasilisha changamoto za Kata hiyo pia ameishukuru Serikali kwa kuchukua hatua za kutatua changamoto ya maji kwa kutengeneza tenki kubwa lenye lita za ujazo 1mil, kulaza bomba za kusambaza maji hayo ambapo Kata ya Tungi inakwenda kuondokana na changamoto hiyo.




Nao wananchi wa Kata hiyo akiwemo mzee Musa Kasonga ameeleza ubovu wa Barabara za mitaa ya Kata hiyo ambayo imekuwa kero kubwa kwa wananchi, akieleza kuwa ipo baadhi ya mitaa barabara zake hazijafunguliwa na hivyo kutopitika kwa urahisi hali inayopelekea vifaa vya usafiri kama magari na pikipiki kuharibika mara kwa mara, kero ambayo Mkuu wa Mkoa alitoa maelekezo kwa wahusika ili kuishughulikia haraka.





MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.