• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MOROGORO AWASIHI WANANCHI KAJITOKEZA KUPIMA AFYA

Posted on: October 15th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka wanamorogoro kujitokeza kwa wingi kupima afya zao na kubaini mapema magonjwa yanayowakabili ili kupata matibabu bobezi yanayotolewa na Madaktari bingwa wa Rais Samia katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Morogoro.


Mkuu huyo wa Mkoa ametoa wito huo Oktoba 15, Mwaka huu alipotembelea kambi ya Madaktari bingwa wa Rais Samia kutoka Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI) katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Morogoro iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.


Aidha, Mhe Malima amesema kambi hiyo ilipanga kudumia wagonjwa 500 kwa siku nne lakini wananchi zaidi 300 wamejiandikisha kwa siku moja pekee ili kufanyiwa vipimo na kupewa ushauri wa kitaalamu na kuwasihi wananchi hao kwenda kuwaambia na wananchi wasio na taarifa ili waweze kupata fursa hiyo mapema.


"... hesabu ambayo wameshapatiwa matibabu ni zaidi ya 180 hivyo wananchi mnapaswa kujitokeza kupata matibabu kwa Madaktari hawa bingwa..." amesema Mhe. Malima


Sambamba na hayo, Mhe. Adam ameishukuru Serikali ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kutoa kibali kwa Madaktari hao kutoa huduma Mkoani humo kwani wagonjwa wanatoka sehemu mbalimbali za Mkoa huo zikiwemo Ifakara, Mvomero, Gairo na Morogoro DC hivyo kumefanya wananchi kuipenda huduma za Serikali yao.


Kwa upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili Dkt. Lemeri Mchome amesema wananchi wanapaswa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuepukana na magojwa yasiyo ya kuambukizwa ukiwemo ugonjwa wa shinikizo la damu, pia amewataka wananchi kuepuka shughuli kwa kiasi ili kuupa mwili muda wa kupumzika na kuendelea kuhifadhi kinga ya mwili.


Vile vile, Kaimu Mkurugenzi huyo amewataka wagonjwa mbalimbali hususan wanaosumbuliwa na mifupa, nyonga, miguu na mengine mengi kufika kambini humo ili kupata matibabu.


Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.