• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC Morogoro awasisitiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura.

Posted on: October 18th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewasisitiza wananchi wa Wilaya ya Malinyi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye orodha ya wapiga kura ili kuwa na haki ya msingi ya kushiriki katika uchaguzi wa mamlaka ya Serikali za mitaa.

Mhe. Malima amesisitiza hilo Oktoba 17, mwaka huu wakati wa ziara yake ya ufuatiliaji wa uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa Wilayani Malinyi kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwa wingi.

Aidha, Mhe. Malima amebainisha kuwa wananchi wenye miaka 18 na kuendelea ndio wenye vigezo vya kujiandikisha bila kitambulisho chochote kwani kitambulisho cha mpiga kura hutumika katika uchaguzi mkuu ambao huhusisha chaguzi za Rais, Mbunge na Diwani hivyo amewatoa wasiwasi na kuwataka wanamalinyi kutumia siku zilizobaki kujiandikisha.

"... kama wewe ni mkazi wa njiwa huyo kiongozi utakayemchagua ndio atakayesimamia mambo yako kwa hiyo usiache kujiandikisha na kumtazama mtu anayekufaa..." amesisitiza Mhe. Adam Malima  

Vile vile, Mhe. Adam amesema jukumu kubwa la wananchi ni kuchagua kiongozi wanaomtaka wao ifikapo Novemba 27 Mwaka huu ili kupata maendeleo bora katika vitongoji, mitaa na vijiji vyao hivyo kutokujiandikisha kutawanyima haki ya msingi ya kumchagua  kiongozi wanaomkusudia.

Katika hatua nyingine, Mkuu huyo wa Mkoa amewataka wananchi kutunza mazingira pamoja na uoto wa asili likiwemo bonde la mto Kilombero kwa kutokata miti hovyo kwa ajili ya shughuli za kilimo ambapo shughuli hizo hupelekea uharibifu wa vyanzo vya maji na kushindwa kuzalisha maji ya kutosha yanayoelekea katika bwawa la Mwalimu Nyerere  linalotumika kuzalisha Umeme Kwa matumizi ya nchi nzima.

Kwa sababu hiyo amewataka wakulima kutumia njia mbadala ya kulima aina ya mazao ya miti ikiwemo miembe, michikichi, parachichi kwa lengo la kuzuia uharibifu wa mazingira ambapo amewataka wananchi wa kijiji cha Namhanga kata ya Iragua kutenga hekari mbili kwa ajili ya kuotesha miche 10,000 kwa kushirikiana na wataalamu wa kilimo wa Wilaya hiyo.


Mwisho

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.