• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC MWASSA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIWANDA CHA KUNDE

Posted on: April 12th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma Abubakar Mwassa ametembelea kiwanda cha kusindika mazao aina ya kunde na kuahidi kutoa ushirikiano na kutatua changamoto zinazokikabili kiwanda hicho.

Mhe. Mwassa amesema hayo Aprili 11, 2023 alipotembelea kiwanda cha Mahashree Agro Processing  Ltd  kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ikiwa ni utekelezaji wa lengo la Serikali la kuondoa kero zinazowakabili wawekezaji na kuvilinda viwanda kwa faida ya pande mbili yaani wananchi na wawekezaji.

Akijibu changamoto Mhe. Fatma Mwassa ameahidi kuwakutanisha wataalamu, wakulima na viongozi wa kiwanda hicho ili kuweka mikataba yenye faida kwa pande zote mbili na kutoa uelewa kwa wakulima kuuza mazao yao katika kiwanda hicho kwani nje ya kusaidiwa mbegu za mazao hayo, bado kiwanda hicho ni mkombozi kwao kwa maana ya soko la kuuza mazao yao.

Akizungumza mara baada ya kumpokea Mkuu huyo wa Mkoa, Meneja wa Kiwanda hicho Bw. Kamalesh Maheshwari ametaja changamoto inayokabili kiwanda hicho kuwa ni pamoja na wakulima wa mazao ya mikunde kutouza mazao yao katika kiwanda hicho, pamoja na kusaidiwa mbegu na kiwanda, wakulima hao wakati wa mavuno hurubuniwa na walanguzi na kuuza mazao yao kwao.

Kiwanda cha Mahashree Agro Processing Ltd kinachouza mazao yaliyosindikwa nje ya nchi zaidi ya 40 duniani, kinajihusisha katika kununua, kusindika na kupaki mazao aina ya mikunde yakiwemo mbaazi, Ufuta, kunde, choroko na dengu.

MWISHO

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • View All

Habari Mpya

  • RC MALIMA AKEMEA ULANGUZI WA MAZAO.

    May 08, 2025
  • WAAJIRI MOROGORO WATAKIWA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAFANYA KAZI WAO.

    May 01, 2025
  • SERIKALI KUJENGA BARABARA YA LUPILO – MALINYI KWA KIWANGO CHA LAMI, Bil. 18 ZATOLEWA KUJENGA MADARAJA MAWILI.

    April 25, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WATAJA TUNU NNE ZA TAIFA.

    April 19, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.