• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
Mkoa wa Morogoro
Mkoa wa Morogoro

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Maelezo ya Mkoa
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Sehemu na Vitengo
      • Utawala na Rasilimali
      • Serikali za Mitaa
      • Uhasibu na Fedha
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Afya
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Morogoro
    • Mvomero
    • Gairo
    • Kilosa
    • Kilombero
    • Ulanga
    • Malinyi
  • Halmashauri
    • Manispaa ya Morogoro
    • Morogoro DC
    • Mvomero
    • Gairo
    • Ulanga
    • Malinyi
    • Mlimba
    • Ifakara Mji
    • Kilosa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uchimbaji wa Madini
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
    • Huduma za Ugavi
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti mbalimbali
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Videos
    • Hotuba
    • Picha

RC SANARE ATATUA MGOGORO WA ARDHI.

Posted on: April 13th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare ametatua mgogoro wa Ardhi uliokuwepo baina ya Halmashauri mbili za Mvomero na Morogoro vijijini uliodumu zaidi ya miaka nane bila ya kupatiwa ufumbuzi.

Mgogoro huo umetatuliwa April 12, 2021 wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri hizo, ambapo alifika eneo la tukio katika kijiji cha Mkono wa mara kisha kuzungumza na wananchi juu ya muafaka wa mgogoro huo.

Loata Sanare amebainisha kuwa mgogoro huo ulitatuliwa kwa kukaa mezani kuzugumzia suala hilo, kuunda kamati ya kupima na kugawa ardhi zoezi lililoongozwa na Kamishna wa ardhi Kanda ya Mashariki pamoja na Maafisa Ardhi wa Halmashauri zote mbili, Serikali za vijiji na Wakuu wa Wilaya za Mvomero na Morogoro.

‘’…..narudia kusema nawashukuru sana kamati hii ya ardhi, kwamba mlitumwa kutatua kero za wananchi, kero ambayo miaka mingi imeshindikana, tumekuja tumefanya vikao viwili mgogoro umeisha, lakini narudia kusema mgogoro umeisha kwa maana ya kuoneshana mipaka…..’’ amesema Loata Sanare.

Aidha, Loata Sanare amezitaka Halmashauri hizo baada ya kutambua mipaka yao kutenga Ardhi, kwa ajili ya huduma za jamii ikiwemo Shule, Afya, sehemu za kuzikia, michezo sehemu za kufanyia ibada n.k.

Sambamba na hayo, Loata Sanare ametoa onyo kwa wananchi wanaojimilikisha na kuuza ardhi nje ya taratibu zilizowekwa na Serikali na kuwataka kufuata sheria ili kuepukana na changamoto zinazoweza kujitokeza.

Kwa upande wake Kamishna wa Ardhi wa Mkoa wa Morogoro Ndg. Frank Minzikuntwe amekiri kuwa Mkuu wa Mkoa amemaliza mgogoro huo wa ardhi uliokuwepo baina ya Halmashauri za  wilaya ya Mvomero na Morogoro kutokana na vikao walivyokaa kisha kuweka mipaka ili kila Halmashauri  kutambua eneo lake.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi wa Halmashauri hizo akiwemo Bw, Anthony Hoza Mkazi wa Mkono wa mara, ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa huyo kwa kutatua mgogoro huo uliokuwa ukitishia Amani kutokana na baadhi ya watu kujimilikisha ardhi kiholela.

Kamishna wa Ardhi wa Mkoa wa Morogoro Ndg. Frank Minzikuntwe akitoa akifafanua namna ambavyo kamati aliyoiunda Mkuu wa Mkoa ilivyotatua mgogoro wa ardhi baina ya Halmashauri hizo

Naye, Fatma Athumani amesema mgogoro huo ulikuwa unamkosesha amani kutokana na uvamizi wa ardhi  uliokuwepo ambao ulikuwa unapelekea ugomvi baina ya pande hizo mbili kwa maana ya wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero na wale wa Halmashauri ya Morogoro.

MWISHO.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2024 October 30, 2024
  • TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. May 13, 2025
  • View All

Habari Mpya

  • MSEMAJI MKUU WA SERIKALI AWATAKA MAAFISA HABARI KUFANYA KAZI ZAO KIMKAKATI.

    May 26, 2025
  • MWAROBAINI WA CHANGAMOTO YA MAJI MOROGORO HII HAPA, RC MALIMA ATOA MAAGIZO.

    May 24, 2025
  • UZALISHAJI WA MAZIWA KUCHANGIA BIL. 18 KWA MWAKA MOROGORO

    May 23, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • View All

Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima akikagua ujenzi wa jengo la ofisi mpya ya Mkuu wa Mkoa.
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Maelezo ya Mkoa
  • Tangazo la Zabuni
  • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
  • Hotuba
  • Taarifa kwa Umma

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti ya Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • TAMISEMI
  • Ikulu
  • Katibu Mkuu Kiongozi
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro

    Sanduku la Posta: S.L.P 650 MOROGORO

    Simu: +2550232934305

    Simu: +255766828252

    Barua pepe: ras.morogoro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2024 Ofisi Ya Mkuu wa Mkoa Morogoro. Haki Zote Zimehifadhiwa.